Dreams Food

Chibudee

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2016
Posts
1,775
Reaction score
2,408
Habari za wakati huu Wakuu natumai muwazima wa afya tele

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20 nimefanya kazi zakuajiriwa takribani miaka miwili nimeona issue ya kuajiriwa. Napoteza muda mwingi kumtumikia mtu bila faida yoyote hivyo nikaanzisha wazo langu la biashara kwa sasa natangeneza vyakula kwa oder maalumu maofisini na majumbani.

Uwe na party yako ndogo kama birthday meeting nk waweza fanya booking nanikakutengenezea chakula unacho hitaji kwa bei poa na chenye laza na mood ya kukufanya kula na kuburudika zaidi.

Naombeni saport yenu wakuu kwa ma ofisini waweza weka booking yako mapema kwa whats app +255759568893 au call +255712568893

Karibuni Dreams food naimani kupata sapoti zenu kuniwezesha kupiga hatua zaidi



 
Good job! Mtanzania kweli kweli, tutakutafuta! Ubarikiwe kwa uamuzi mwanana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…