Kwa hiyo hadi litokee dili jingine la kusafirisha wajeda au minofu ya sangara ndo litaruka, tuliwaambia acheni watu na makampuni binafsi wafanye biashara. mbona serikali ni mwanahisa kwenye makampuni kibao na wala haihusiki moja kwa moja kwenye management?That is a charter flight....Atcl itakuwa imekula hela ndefu kama hamna ufahamu na baadhi ya field bora upite kama upepo bila kutoa comment
Itarudi na maafisa na askari wa idadi hiyo waliomaza zamu yao huko DufurVilevile Mhandisi Matindi aliongeza kuwa Ndege ya Dream Liner ina uwezo wa kusafiri kwa saa 12 bila kusimama, hivyo kwa kutumia saa tatu kusafiri kutoka hapa mpaka nchini Sudan ni sehemu ndogo ya Uwezo wake na ni nafasi ya kuwajaribisha watendaji wa Ndege wa ATCL katika kuhudumia safari Ndefu.
Hiyo para nmeelewa, maana ila kwa gharama Ni upumbavu kutumia ndege yetu maaana inaenda kurudi tupu,(wakati UN watakuwa wamelipia kwenda TU)........
Linayo na karibu litaanza, sasa hivi "lina-trot" kwanzaKwani hili dege halina route maalumu!
akanunulie futariNenda kwa taratibuukachukue mchango wako
UN wamelipia kila kituWame lipia nauli? Hasara nyingine iyo
Linayo na karibu litaanza, sasa hivi "lina-trot" kwanza
Hizo hela ndefu Nani anatoa!!?? Kwani UN hawana bajeti,hawajui Bei ya tikeki ya ndege dar to darfuu,hawajui idadi ya manajeshi wa tz wambao ambao watenda huko.............That is a charter flight....Atcl itakuwa imekula hela ndefu kama hamna ufahamu na baadhi ya field bora upite kama upepo bila kutoa comment
We kweli kichwaboga@gmail.comSafi Baba Dr John Pombe Magufu, wabane hapo hapo Mafisadi hadi washike adabu 2020 nakupa kura yangu kiroho safi kama sethuji..
Nunua tena nyingine 2 cash tumepeleke jeshi hadi somalia likalinde aman...
Email yangu baba Dr John Pombe Magufuli..
usinisahau kwenye teuzi..
Kichwanazi121@Gmail.com
Linaingiza faida?May 16, 2019
Dar -es-Salaam, Tanzania
Ndege ya ATCL aina ya Boeing 787 Dreamliner yaenda Sudan kupeleka wanajeshi ktk jimbo la Darfur kulinda amani. Boeing 787 Dreamliner ya ATCL ni ndege mahsusi ya abiria yenye uwezo wa kwenda masafa marefu lakini hii ni mara ya kwanza kushiriki ktk operesheni za kijeshi kwa ajili ya ulinzi wa amani.
Akizungumzia ushiriki wa Tanzania ktk kulinda amani chini ya Umoja wa Mataifa, mkuu wa operesheni na mafunzo ktk JWTZ, Major General Alfred Fabian Kapinga amesema huu ni mwaka wa 12 mfululizo toka Tanzania ihusike ktk kampeni za ulinzi wa amani chini ya usimamizi wa Umoja wa Mataifa.
Tanzania ina vikosi chini ya Umoja wa Mataifa kulinda amani ktk nchi za Lebanon, Central African Republic, Sudan na DR Congo. Na katika kupeleka vikosi imekuwa ikitumia ndege za JWTZ na zingine zilizokodishwa na Umoja wa Mataifa. Hii ni mara ya kwanza ATCL kutumika na kutakuwepo mwendelezo wa ATCL kutumika ktk misheni za ulinzi wa amani chini ya Umoja wa Mataifa.
Naye Mkurugenzi Mkuu wa ATCL amesema wamefarijika shirika kupata tenda ya Umoja wa Mataifa kusafirisha walinzi wa amani. Amelishukuru jeshi JWTZ na wadau wengine waliofanikisha kupata kazi hii inayoshindaniwa na mashirika mengi ya ndege duniani ktk kufanya kazi za Umoja wa Mataifa.
Sasa hii itaeleta manufaa gani kwa nchi au italeta jipya lipi kwa ATCL?Chadema pingeni basi.
Da'Mange anasemaje?Sasa hii itaeleta manufaa gani kwa nchi au italeta jipya lipi kwa ATCL?