Mr Devil
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 14,907
- 34,440
Dondosha jinsi ya kulipata kwanza..mengine ya ziada
Sisi tunaocheza pes mobile tukoment wap?
Sisi tunaocheza pes mobile tukoment wap?
Nenda youtube ukachek mwenyeweDondosha jinsi ya kulipata kwanza..mengine ya ziada


Mie nili dowbload la kuhack nikaona haina maana nika download upya la kawaida mpaka sasa niko hapaView attachment 1215799View attachment 1215799View attachment 1215799View attachment 1215800View attachment 1215800
Meaning you're not enjoy the game anymore after hacking it, are you?Hatimae nimefakiwa kuhack. Lakini nimejifunza kitu kimoja cha msingi sana. Kuhack hakuna faida yoyote ile maana hakuna tena ushindani.... yaani unashinda weeeeeee.!!! Hahhhhahhh... du bora ucheze tu gemu halali