adriz de mbusii
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 16,786
- 37,800
Stone age hiyo na haukuwa mkali kiasi hiko unachojisifia.Unanishangaza kuyatupa maneno kiasi hiki ina maana umenisahau ama?
Stone age hiyo na haukuwa mkali kiasi hiko unachojisifia.Unanishangaza kuyatupa maneno kiasi hiki ina maana umenisahau ama?
Cheza na Fene now nipo sehemu mbaya umechelewa mida ile .Twende uwanjani boss
Unanishangaza kuyatupa maneno kiasi hiki ina maana umenisahau ama?
Lete codeTwende uwanjani boss
Lete code
Nipigie huyo chap amejileta wewe ndio nitakurithisha mikoba yangu ya Umaster humu..Tunapishana sana aisee master
Yah ,mimi ndio Master wao humu karibu sana utapata muongozo yote.😀😀😀ewaaa kumbe kuna game za kirafiki humu... ngoja nilishushe tena nije nipate kichapo changu nitulie
Poa twende1717
Time saa ngapiYah ,mimi ndio Master wao humu karibu sana utapata muongozo yote.
unazidi kumponza Fene jinsi unavyomuita Master ,nitahakikisha anapata vya kudhalilisha ili maji yajitenge na mafuta kama nilivyomla dozi mechi 13 kashinda 1 mwaka huu full vipigo.Twende uwanjani….master
Duh! Ni hatari na nusu tukutane tena morrow1717
Muda wowote utakaokubaliana na mpinzani wako .Time saa ngapi
Naaeka rekodi Sawa ya leo , tumecheza mechi 2 nimekupiga zote , kichapo mpaka watu wajue kuwa wewe ni Master Fake.Duh! Ni hatari na nusu tukutane tena morrow
Njo ucheze na mimi huo mdomo ukuishe na wwNaaeka rekodi Sawa ya leo , tumecheza mechi 2 nimekupiga zote , kichapo mpaka watu wajue kuwa wewe ni Master Fake. View attachment 2472472
Mpk sasa mechi 15 au 14 umeshinda 1 Sara 1 na kupigwa zote zilizobaki zaidi ya mechi 10 .
Embu kubali salumu amri nipe heshima yangu kuwa mimi Master hata mwaka jana ulianza makali baada ya kukusurendesha na ukaja humu kukiri kisha ukarudi upya , sasa usipofanya hivyo ni vichapo tu mpk uombe poo.
Mwenzako Fene alianza na kelele kama zako leo hii huu uzi kwake anauona mchungu na kujiogopa 😆😆😆Njo ucheze na mimi huo mdomo ukuishe na ww
PLS ndio nini ?Live inategemea na stability ya internet yako , mtandao ukiwa chini wachezaji wanasimana unapigwa kama ngoma au ilinajiQuit na kuonyesha umefungwa..Oy wadau kwema? mbona me nikicheza live wachezaji wanakuwa wazito hata mpira unakuwa slow sana tofaut na nikic lheza ligi na mashndano mengne !! Msaada PLS