Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,858
- 4,562
Mi sijakimbia na kukuhakikishia hilo kesho tutaonana tena, ni vile ukicheza na mtu mmoja game zatakiwa ziwe na limit, mbona hata ukinifungaga nasema inatosha mbona huongeigi!?!Ndio maana nikasema wewe haufai sio Master kule umenikimbia kwa kudai inatosha halafu huku unataka kucheza na mtu !!
Ngoja niifuteyangu iko mahali salama labda atapatikana mrithi humu baadae sio wewe muoga
![]()




