Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Toka mwaka huu uanze sijawahi kucheka kama leo hii mechi na @Frustation hii wakati nacheza jinsi mtu anavyokula kichapo nikukumbuka ametoka kumuambia Nkulu wa nchito mbovu kupitiliza baada kumpa dozi nimecheka mno huku mechi inaendelea tena kwa sauti kubwa kama mwehu nusu nivunje simu na nikafikia hatua ya kucheka mpk kulala chini alivyoQUIT na kukimbia hapa nilipo tumbo linauma aisee !! [emoji23] [emoji23] [emoji38]
View attachment 2325540View attachment 2325541Halafu nado hakomi namshauri kila siku acheze gemu la Sokoban au hata magari.
Yule aliyenicheka kumbe nae kapanda mtumbwi wa kibwengu[emoji23][emoji23][emoji23]dah
 
Andika goli
Screenshot_2022-08-16-22-10-59-45.png
 

Attachments

  • Screenshot_2022-08-16-22-10-59-45.png
    Screenshot_2022-08-16-22-10-59-45.png
    82.8 KB · Views: 12
Back
Top Bottom