adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 15,555
- 33,895
Kama mbabe wako Singasinga ambaye toka uzaliwe mechi kibao haujawahi kumfunga mimi ninamudu kumfunga vizuri bado hauniheshimu kwa kukupa hadhi ya kumfunga mbabe wako ?
Kitaalamu mimi ndio mtetezi wa huu uzi ndio maana najiita Master kwa maana siruhusu hata mgeni atawale hata awe mbabe vipi atapigwa kuliko wewe unacha mtu achukuke ujiko .
Cheki hii dharau Singasinga amekufanyia statistics kwako sifuri na kipondo juu ndio maana nakusaidia kumkanda mbabe wako bado hauniheshimu why ?
DR SANTOS
Yani ushindi wa matuta tena kwa kuokolewa na uchovu wa usingizi ndo unakuja kutamba

