Dr. W Slaa Ninayemfahamu!

Dr. W Slaa Ninayemfahamu!

Mi kinachonishangaza ni baadhi wa wanachama wa CCM ambao wanamponda Dr Slaa kila siku hapa ndo wamekuwa wateteaji kwamba ameonewa.
Nia ya CCM ni CDM ife na kama wanavyodai Lowassa anaenda kuiua CDM sasa kwa nini wana CCM wasifurahie hilo jambo? Au tunapakana mafuta kwa mgongo wa chupa? Ni nini ambacho wanaogopa?

cc mwekundu

Ccm kwao ni furaha kubwa sana maana hawataangaika na lowassa kwenye kampaini. Afu jua kutoa maoni ni jambo huru
 
Last edited by a moderator:
Dr slaa hastahili haya aliyofanyiwa na mbowe pamoja na Mzee Mtei, mark my word lazima watu wamfuate ZZK na kile chama kweli wanayoyataka Mtei na Mbowe ndo maamuzi

Dawa ni kumkabidhi fomu aongoze jahazi

Yaani Josephine avuje damu halafu regina awe first lady!!



Maajabu Dr. Slaa anapogeuka lulu kwenu..

Mpaka jana hakuna mtu yeyote kutoka Chadema aliyekuwa amechukua form ya kuogmbea urais. Huu ndio ukweli ambao ni mchugu kwenu
 
Jamani mnaoipenda Tanzania . Nimepokea a personalmessage from my friends na Mzee Dr. Salaa . Baada ya message yake I called him we spoke for about 12 minutes . Kanieleza yake lakini naomba apewe muda . Mzee Slaa hana shida na Urais maana he is a leader . Mzee amechukizwa a watu kufungua Twitter account using his name . Yote ambayo yamekuwa yanasemwa na kumhusisha ni uzushi . Yes mzee anaona tatizo lakini hajaamua kuondoka Chadema . Mzee anatafakari akiwa within Chadema . Mzee Slaa is a philosopher sote tunakubaliana akiongea ama kuandika one need to take time kumwelewa . Matatizio yaliyopo na yeye ni Mzee atakabiliana naye . Kweli kuna shida na siwezi kusema hapa ila moja kasema acheni kumwekea maneno mdomoni . Account za twitter si zake na anachukia ujinga wa watu wachache kuendeleza ujinga wao mtandaoni . Mwenye kuelewa na aelewe na punguzeni uchonganishi .
 
Slaa kama unaona CHADEMA hawajakutendea haki njoo CCM tutakupokea. Ila Watanzania kwa sasa wanamuhitaji Lowassa awaongoze kupitia UKAWA.
 
Tuna imani na Dr Slaa na Lowassa katika umoja wao!
 
Dr.Slaa anaweza kukubali Lowasa agombee kama majority wa CHADEMA na Ukawa wataamua hivyo maana na yeye ataonekana mbinfsi na king'ang'anizi wa madaraka. Ila Rai yangu asikubali kumsafisha Lowasa ili kulinda heshima yake ndani ya Tanzanioa na nje ya Tanzania.
 
2010 Dr. Slaa alishinda mkaiba kura... vibaka nyie, awamu hii haiibiwi kitu, Lowassa anajua mbinu zenu zote za kipumbavu

Exit poll ya 2010 inaonesha kuna uwezekano wa asilimia 95 CCM walishinda uchaguzi mkuu (source imeminywa).
 
Una uhakika wa kimaandishi au kimatamshi kuwa Dr. Slaa hakuhusika katika maamuzi ya kumleta Lowassa CDM?

Dr slaa hastahili haya aliyofanyiwa na mbowe pamoja na Mzee Mtei, mark my word lazima watu wamfuate ZZK na kile chama kweli wanayoyataka Mtei na Mbowe ndo maamuzi
 
Una uhakika wa kimaandishi au kimatamshi kuwa Dr. Slaa hakuhusika katika maamuzi ya kumleta Lowassa CDM?

CDM siku hizi ni maarufu ,wamevuja jasho ,wamepigwa mabomu yote Dr alivumilia katika kujenga falsafa ya chama ,siamini na wala sikubali suala la lowassa ameonekane ni best substution ya Dr slaa otherwise kama kweli lowassa ana nia ya dhati na sio uroho wa madaraka awe mwanachama tu wa kawaida u president slaa ana fit na watu wana imani naye muda mrefu
 
Kwani huko CDM ni Slaa tu pekee aliyekutana na kadhia yote hiyo?

Kwani Urais ni fadhila kwamba waliotaabika kujenga falsafa ya chama ndio wenye kupewa dhamana ya kuwakilisha vyama vyao kwa nafasi ya Urais?

Kama unaamini katika hayo basi hata CCM wamekosea kwa kumpa nafasi Dk Magufuli (wa juzi tu) na kuwatupa mbali wazee walioshiriki harakati za ukombozi wa nchi kina Prof Mwandosya, Sitta n.k

CDM siku hizi ni maarufu ,wamevuja jasho ,wamepigwa mabomu yote Dr alivumilia katika kujenga falsafa ya chama ,siamini na wala sikubali suala la lowassa ameonekane ni best substution ya Dr slaa otherwise kama kweli lowassa ana nia ya dhati na sio uroho wa madaraka awe mwanachama tu wa kawaida u president slaa ana fit na watu wana imani naye muda mrefu
 
Kwani huko CDM ni Slaa tu pekee aliyekutana na kadhia yote hiyo?

Kwani Urais ni fadhila kwamba waliotaabika kujenga falsafa ya chama ndio wenye kupewa dhamana ya kuwakilisha vyama vyao kwa nafasi ya Urais?

Kama unaamini katika hayo basi hata CCM wamekosea kwa kumpa nafasi Dk Magufuli (wa juzi tu) na kuwatupa mbali wazee walioshiriki harakati za ukombozi wa nchi kina Prof Mwandosya, Sitta n.k

Don't ignore the fact kwa sasa Dr slaa ni presidential material kwa CDM na Ukawa pia hata Cut,TLP wanalijua hilo kabla ya ujio wa manywele
 
Pengine unaweza kuamini hivyo kutokana na tafiti na umaarufu wa Dr Slaa...

Lakini mtaji wa kisiasa ni mkubwa zaidi kama CDM/UKAWA wakiwa na Lowassa + Slaa kwa pamoja...

Hata kama hao UKAWA wakifanikiwa kupewa dhamana na Watanzania bado jina la Slaa lina nafasi ya kung'ara katika nafasi ya uwaziri mkuu...

Bila kuthubutu kuimega CCM hakuna namna ya kuiondoa...

Don't ignore the fact kwa sasa Dr slaa ni presidential material kwa CDM na Ukawa pia hata Cut,TLP wanalijua hilo kabla ya ujio wa manywele
 
Kumsamehe lowassa Dr slaa anaweza fanya ivo. Ila kama atakubaliana kuwa lowassa awe mhombea uraisi kwa tiketi ya ukawa basi sito mwamini tena Dr slaa. Maana lowassa ni mroho wa madaraka tena sana tu.

EdL amekiri kuhusika na Rechmund, akiwa na akili timamu na kwa kujua kuwa mkataba ulikuwa na kasoro aliupitisha, kukataa hilo ni sawa na mwizi aliyeiba mbuzi na anajitetea nilikuwa navuta kamba sikuiba Mbuzi. Tunahitaji ushahidi gani wa Edl kuhusika ktk Ufisadi wakati yeye amekiri? TUMEVURUGWA. Namwamini Dr. Slaa kwani alichokisema Muhusika amekiri.
 
Upekee wa EdL upo wapi, maamuzi magumu yako wapi, nia dhabithi kwa watanzania imeanza lini, kama aliweza kusaini mkatama wenye kasoro, akiwa na akili timamu na anajua kuwa mkataba unakasoro. TUMEVURUGWA
 
Don't ignore the fact kwa sasa Dr slaa ni presidential material kwa CDM na Ukawa pia hata Cut,TLP wanalijua hilo kabla ya ujio wa manywele

Hata wale 38 waliokatwa na CCM ni president material.
Kama Dr. Slaa ameridhia kwani shida ipo wapi?
 
Uongozi wetu wa chama chini ya Mbowe, Dr. Slaa, Baregu, Marando, Lissu, Mnyika, Mwalimu, Mdee tunaamini wapo makini, Mbowe mwenyewe alihakikisha kuwa haikuwa kazi rahisi kumpata Eddo, sasa yupo kwenye 18 zetu UKAWA tunatoboa.

Kwanza ieleweke kuwa CHADEMA tuna utaratibu wetu wa kumpata mgombea urais, tofauti na vyama vingine. Dr. Slaa angelikuwa anataka urais kwa utashi wake angekwisha chukua form zamani. Lakini kwasababu nia ni kuiondoa ccm madarakani ndiyo maana walikaa kama kamati wakafikia muafaka wa kumleta Eddo...... Pia ieleweke kuwa Dr. Slaa hajawahi kuota ndoto ya kuwa rais, lakini ameota ndoto ya kuifuta CCM. Kazi ya Dr. Slaa kama katibu mkuu wa CHADEMA ni kubwa na ya muhimu sana

kumbe ndio yamekuwa haya tena si mgombea bali katibu mkuu duuh
yote kwa yote inaonekana uongozi umeshakubali yaishe including dr himself.. either kalazimwa au kwa hiari yake ..tunao tizama hii issue kwa namna nyingine dissapointment tu hakuna namna nyingine..maana yamesemwa maneno mengiii

adui mkubwa ni ccm..sasa ccm sijui ni nani..?
sijui mechanism ya kubadili hawa tuliowaita mafisadi ni ipi..?
tumeona ilivyokuwa ngumu ..kuvua gamba kwa hawa jamaa. ngoja tusubiri..
sio lazima tufanane mitazamo
 
hivi inaingia akilini Slaa kumnadi LOWASA ktk kampeni za URAISI.
WTF.
NASUBIRI AIBU HII YA MWAKA.
 
Back
Top Bottom