Dr. W Slaa Ninayemfahamu!

Dr. W Slaa Ninayemfahamu!

Character X

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
331
Reaction score
382
comrades, salaam!... niruhusuni niyaeleze haya!. ninafahamu wote tumeyasikia yanayosemekana kuendelea ndani ya chama chetu (CHADEMA) chini kwa chini,lakini mimi nina haya yakusema.. Dr. W Slaa nina muheshimu sana! kwa utendaji wake mahiri.. na ufuatiliaji wa mipango na umakini wa utekelezaji wa mambo, na kwakweli utumishi kwa movement yetu hii uliotukuka.!!! nina imani naye sana!!, na ninamfahamu kwa hekima aliyonayo, na uuelewa mkubwa katika mambo ya siasa na uongozi ulimwenguni kwaujumla.

Sinashaka kabisa na ufahamu wake wa maswala haya ya utawala na uongozi wa watu. sasa, nina amini au niseme ningependa kuendelea kuamini kua anafahamu na anakumbuka what the big picture was, who the reall enemy was, and what the target of our fight has always been. Up rooting CCM!!, that has always been the target and the firts imediate goal in our fight!! i believe that has not changed!..

Sasa kwa uwezo mkubwa alionao as a visionary leader- (ninamfahamu vizuri!!) naamini atakua mtu wa mwisho kutukwaza katika mapambano haya in such a vulnarable time. niwaombe nyote mnaoitakia mema Tanzania yetu kuhakikisha tunasimama pamoja katika hatua hii. Tuelekeze nguvu katika kumpiga adui.,!! its NOT time for self distruction!! it has been enough of CCM!., tuwaondoe sasa.,

Baada ya yote tuliopitia katika mapambano haya, wakutukwamisha kwenye mapambano haya hawezi kuwa Dr. W Slaa. Nina imani naye. Comrades,

Nawashukuru
 
Sasa hapo tusemeje sisi?...Tukamshauri asitukwaze?...maamuzi yake hatimaye yatakuwa ndiyo ya mwisho. Otherwise kila mtu anapenda kundi la Cdm na Ukawa libaki kama lilivyoanza bila kusambaratika katikati ya vita!
 
Dr slaa hastahili haya aliyofanyiwa na mbowe pamoja na Mzee Mtei, mark my word lazima watu wamfuate ZZK na kile chama kweli wanayoyataka Mtei na Mbowe ndo maamuzi
 
Uongozi wetu wa chama chini ya Mbowe, Dr. Slaa, Baregu, Marando, Lissu, Mnyika, Mwalimu, Mdee tunaamini wapo makini, Mbowe mwenyewe alihakikisha kuwa haikuwa kazi rahisi kumpata Eddo, sasa yupo kwenye 18 zetu UKAWA tunatoboa.

Kwanza ieleweke kuwa CHADEMA tuna utaratibu wetu wa kumpata mgombea urais, tofauti na vyama vingine. Dr. Slaa angelikuwa anataka urais kwa utashi wake angekwisha chukua form zamani. Lakini kwasababu nia ni kuiondoa ccm madarakani ndiyo maana walikaa kama kamati wakafikia muafaka wa kumleta Eddo...... Pia ieleweke kuwa Dr. Slaa hajawahi kuota ndoto ya kuwa rais, lakini ameota ndoto ya kuifuta CCM. Kazi ya Dr. Slaa kama katibu mkuu wa CHADEMA ni kubwa na ya muhimu sana
 
mie naona baada ya uchaguzi matokeo yakiwa tofauti lowasa abaki kama mwanachama wa kawaida
 
Uongozi wetu wa chama chini ya Mbowe, Dr. Slaa, Baregu, Marando, Lissu, Mnyika, Mwalimu, Mdee tunaamini wapo makini, Mbowe mwenyewe alihakikisha kuwa haikuwa kazi rahisi kumpata Eddo, sasa yupo kwenye 18 zetu UKAWA tunatoboa.

Kwanza ieleweke kuwa CHADEMA tuna utaratibu wetu wa kumpata mgombea urais, tofauti na vyama vingine. Dr. Slaa angelikuwa anataka urais kwa utashi wake angekwisha chukua form zamani. Lakini kwasababu nia ni kuiondoa ccm madarakani ndiyo maana walikaa kama kamati wakafikia muafaka wa kumleta Eddo...... Pia ieleweke kuwa Dr. Slaa hajawahi kuota ndoto ya kuwa rais, lakini ameota ndoto ya kuifuta CCM. Kazi ya Dr. Slaa kama katibu mkuu wa CHADEMA ni kubwa na ya muhimu sana

So 2010 tulimpigia kura kumsindikiza JK?
 
Nitakuwa tofauti kidogo na wewe kamanda. Nimjuavyo mimi Dr.Slaa itakuwa ngumu sana kufuta kauli yake kwamba EL si fisadi kama ailvyofanya Mbowe na wenyeviti wenza wa UKAWA maana Dr.Slaa alienda mbali hakuishia kwenye Richmond tu bali hata uadilifu wa EL unatia shaka toka zamani. Dr.Slaa kalelelewa kwenye maadili ya akidini alikuwa padre hawezi kuwa mnafiki kumsafisha EL wakati kila mtu anajua jinsi EL alivyogawa pesa/Rushwa kwa WANEC wa CCM na waliomdhamini kila mtu anajua hilo. Amevunja taratibu za chama chake cha awali cha ccm kwa kuanza kampeni mapema na kujiona yeye ndio bora kuliko wote pale ccm (hii tabia inafanana na ZITO kabwe aliyeondolewa pale CDM). Sio Dr.Slaa tu hata Tundulissu itamuwia vigumu sana kumsapoti EL au kumsafisha maana alimtangaza live Dr.Slaa jkama mgombea wa UKAWA Moshi mjini na hata juzi juzi pale Kahama wakati wakienda kuwapokea akina Bulaya pale Mwanza kumbe Mbowe na yake moyoni anafanya usajili wa EL. Hii kitu inaumiza sana, Mbowe anafanya hivyo anajua haitamcost upande wake sababu kiu yake apepeleke tu mtu yeyote Magogonni bila kujali uhalali na uadilifu wake huku akijua yeye hataathirika sababu atabkai na uenyekiti wake watakaothirika ni wengine akina Dr.Slaa wagombea ubunge maeneo ambayo wavamizi wa ccm kwa gia ya EL watakwenda kuchukua nafasi . Ila Mbowe ake ajue Mungu analipa hapahapa duniani asishangae mara baada ya kushinda Urais uchaguzi wa 20120 Lowasa kaunda chama chake na wanaccm wenzake aliokwenda nao CDM. Kitendo alichofanya Mbowe ni kuigeuza CDM na UKAWA CCM B. N akumfanya EL ndiyo mkubwa na mwenye maana kushinda viongozi wote wa UKAWA kitu ambcho siamini kama ni sahihi. Mbowe anasema eti ni fursa ya kuwaunganisha watanzania, Unaunganisha Taifa bila kujali anayekwenda kuunganisha Taifa ni nani, ana uadilifu kiasi gani? Mbowe ulijenga chama cha CDM na utakiua chama cha CDM tuombe mungu 20120 sio mbali.
 
Nitakuwa tofauti kidogo na wewe kamanda. Nimjuavyo mimi Dr.Slaa itakuwa ngumu sana kufuta kauli yake kwamba EL si fisadi kama ailvyofanya Mbowe na wenyeviti wenza wa UKAWA maana Dr.Slaa alienda mbali hakuishia kwenye Richmond tu bali hata uadilifu wa EL unatia shaka toka zamani. Dr.Slaa kalelelewa kwenye maadili ya akidini alikuwa padre hawezi kuwa mnafiki kumsafisha EL wakati kila mtu anajua jinsi EL alivyogawa pesa/Rushwa kwa WANEC wa CCM na waliomdhamini kila mtu anajua hilo. Amevunja taratibu za chama chake cha awali cha ccm kwa kuanza kampeni mapema na kujiona yeye ndio bora kuliko wote pale ccm (hii tabia inafanana na ZITO kabwe aliyeondolewa pale CDM). Sio Dr.Slaa tu hata Tundulissu itamuwia vigumu sana kumsapoti EL au kumsafisha maana alimtangaza live Dr.Slaa jkama mgombea wa UKAWA Moshi mjini na hata juzi juzi pale Kahama wakati wakienda kuwapokea akina Bulaya pale Mwanza kumbe Mbowe na yake moyoni anafanya usajili wa EL. Hii kitu inaumiza sana, Mbowe anafanya hivyo anajua haitamcost upande wake sababu kiu yake apepeleke tu mtu yeyote Magogonni bila kujali uhalali na uadilifu wake huku akijua yeye hataathirika sababu atabkai na uenyekiti wake watakaothirika ni wengine akina Dr.Slaa wagombea ubunge maeneo ambayo wavamizi wa ccm kwa gia ya EL watakwenda kuchukua nafasi . Ila Mbowe ake ajue Mungu analipa hapahapa duniani asishangae mara baada ya kushinda Urais uchaguzi wa 20120 Lowasa kaunda chama chake na wanaccm wenzake aliokwenda nao CDM. Kitendo alichofanya Mbowe ni kuigeuza CDM na UKAWA CCM B. N akumfanya EL ndiyo mkubwa na mwenye maana kushinda viongozi wote wa UKAWA kitu ambcho siamini kama ni sahihi. Mbowe anasema eti ni fursa ya kuwaunganisha watanzania, Unaunganisha Taifa bila kujali anayekwenda kuunganisha Taifa ni nani, ana uadilifu kiasi gani? Mbowe ulijenga chama cha CDM na utakiua chama cha CDM tuombe mungu 20120 sio mbali.

Mkuu chezea mchaga kwa mbesa weyeeeee, mbowe kaona potelea mbali kama ni kuondoka hao kina slaa sijui tundu lisu, mnyika n.k acha tu waondoke, lakini hawezi kuachia mtonyo mrefu wa edo!!!
 
Nitakuwa tofauti kidogo na wewe kamanda. Nimjuavyo mimi Dr.Slaa itakuwa ngumu sana kufuta kauli yake kwamba EL si fisadi kama ailvyofanya Mbowe na wenyeviti wenza wa UKAWA maana Dr.Slaa alienda mbali hakuishia kwenye Richmond tu bali hata uadilifu wa EL unatia shaka toka zamani. Dr.Slaa kalelelewa kwenye maadili ya akidini alikuwa padre hawezi kuwa mnafiki kumsafisha EL wakati kila mtu anajua jinsi EL alivyogawa pesa/Rushwa kwa WANEC wa CCM na waliomdhamini kila mtu anajua hilo. Amevunja taratibu za chama chake cha awali cha ccm kwa kuanza kampeni mapema na kujiona yeye ndio bora kuliko wote pale ccm (hii tabia inafanana na ZITO kabwe aliyeondolewa pale CDM). Sio Dr.Slaa tu hata Tundulissu itamuwia vigumu sana kumsapoti EL au kumsafisha maana alimtangaza live Dr.Slaa jkama mgombea wa UKAWA Moshi mjini na hata juzi juzi pale Kahama wakati wakienda kuwapokea akina Bulaya pale Mwanza kumbe Mbowe na yake moyoni anafanya usajili wa EL. Hii kitu inaumiza sana, Mbowe anafanya hivyo anajua haitamcost upande wake sababu kiu yake apepeleke tu mtu yeyote Magogonni bila kujali uhalali na uadilifu wake huku akijua yeye hataathirika sababu atabkai na uenyekiti wake watakaothirika ni wengine akina Dr.Slaa wagombea ubunge maeneo ambayo wavamizi wa ccm kwa gia ya EL watakwenda kuchukua nafasi . Ila Mbowe ake ajue Mungu analipa hapahapa duniani asishangae mara baada ya kushinda Urais uchaguzi wa 20120 Lowasa kaunda chama chake na wanaccm wenzake aliokwenda nao CDM. Kitendo alichofanya Mbowe ni kuigeuza CDM na UKAWA CCM B. N akumfanya EL ndiyo mkubwa na mwenye maana kushinda viongozi wote wa UKAWA kitu ambcho siamini kama ni sahihi. Mbowe anasema eti ni fursa ya kuwaunganisha watanzania, Unaunganisha Taifa bila kujali anayekwenda kuunganisha Taifa ni nani, ana uadilifu kiasi gani? Mbowe ulijenga chama cha CDM na utakiua chama cha CDM tuombe mungu 20120 sio mbali.

Lowassa over my dead body
 
Mi kinachonishangaza ni baadhi wa wanachama wa CCM ambao wanamponda Dr Slaa kila siku hapa ndo wamekuwa wateteaji kwamba ameonewa.
Nia ya CCM ni CDM ife na kama wanavyodai Lowassa anaenda kuiua CDM sasa kwa nini wana CCM wasifurahie hilo jambo? Au tunapakana mafuta kwa mgongo wa chupa? Ni nini ambacho wanaogopa?

cc mwekundu
 
Last edited by a moderator:
Uongozi wetu wa chama chini ya Mbowe, Dr. Slaa, Baregu, Marando, Lissu, Mnyika, Mwalimu, Mdee tunaamini wapo makini, Mbowe mwenyewe alihakikisha kuwa haikuwa kazi rahisi kumpata Eddo, sasa yupo kwenye 18 zetu UKAWA tunatoboa.

Kwanza ieleweke kuwa CHADEMA tuna utaratibu wetu wa kumpata mgombea urais, tofauti na vyama vingine. Dr. Slaa angelikuwa anataka urais kwa utashi wake angekwisha chukua form zamani. Lakini kwasababu nia ni kuiondoa ccm madarakani ndiyo maana walikaa kama kamati wakafikia muafaka wa kumleta Eddo...... Pia ieleweke kuwa Dr. Slaa hajawahi kuota ndoto ya kuwa rais, lakini ameota ndoto ya kuifuta CCM. Kazi ya Dr. Slaa kama katibu mkuu wa CHADEMA ni kubwa na ya muhimu sana

mnasahau kuwa cdm tunagawana wajibu sio vyeo kwenye vyeo kule kule ccm
 
Hapa lazima tujue nani aliinitiate dili la edo kuingia ukawa, kama ni ukawa wenyewe inamaanisha walikubaliana na kama ni lowasa mwenyewe basi litakuwa liliwekwa mezani na wakubwa wote wakaja na kauli moja ya ndio....na nyie watz hamueleweki, baada ya wana ccm kubaka democrasia na kumpitisha magufuli wote mlishangilia mkasema hapa ukawa hawatatoboa, mkafanya ukawa kutokulala kumtafuta mpambanaji zaidi ya magufuli...mnakuja mnalialia tena
 
Nitakuwa tofauti kidogo na wewe kamanda. Nimjuavyo mimi Dr.Slaa itakuwa ngumu sana kufuta kauli yake kwamba EL si fisadi kama ailvyofanya Mbowe na wenyeviti wenza wa UKAWA maana Dr.Slaa alienda mbali hakuishia kwenye Richmond tu bali hata uadilifu wa EL unatia shaka toka zamani. Dr.Slaa kalelelewa kwenye maadili ya akidini alikuwa padre hawezi kuwa mnafiki kumsafisha EL wakati kila mtu anajua jinsi EL alivyogawa pesa/Rushwa kwa WANEC wa CCM na waliomdhamini kila mtu anajua hilo. Amevunja taratibu za chama chake cha awali cha ccm kwa kuanza kampeni mapema na kujiona yeye ndio bora kuliko wote pale ccm (hii tabia inafanana na ZITO kabwe aliyeondolewa pale CDM). Sio Dr.Slaa tu hata Tundulissu itamuwia vigumu sana kumsapoti EL au kumsafisha maana alimtangaza live Dr.Slaa jkama mgombea wa UKAWA Moshi mjini na hata juzi juzi pale Kahama wakati wakienda kuwapokea akina Bulaya pale Mwanza kumbe Mbowe na yake moyoni anafanya usajili wa EL. Hii kitu inaumiza sana, Mbowe anafanya hivyo anajua haitamcost upande wake sababu kiu yake apepeleke tu mtu yeyote Magogonni bila kujali uhalali na uadilifu wake huku akijua yeye hataathirika sababu atabkai na uenyekiti wake watakaothirika ni wengine akina Dr.Slaa wagombea ubunge maeneo ambayo wavamizi wa ccm kwa gia ya EL watakwenda kuchukua nafasi . Ila Mbowe ake ajue Mungu analipa hapahapa duniani asishangae mara baada ya kushinda Urais uchaguzi wa 20120 Lowasa kaunda chama chake na wanaccm wenzake aliokwenda nao CDM. Kitendo alichofanya Mbowe ni kuigeuza CDM na UKAWA CCM B. N akumfanya EL ndiyo mkubwa na mwenye maana kushinda viongozi wote wa UKAWA kitu ambcho siamini kama ni sahihi. Mbowe anasema eti ni fursa ya kuwaunganisha watanzania, Unaunganisha Taifa bila kujali anayekwenda kuunganisha Taifa ni nani, ana uadilifu kiasi gani? Mbowe ulijenga chama cha CDM na utakiua chama cha CDM tuombe mungu 20120 sio mbali.

Kumsamehe lowassa Dr slaa anaweza fanya ivo. Ila kama atakubaliana kuwa lowassa awe mhombea uraisi kwa tiketi ya ukawa basi sito mwamini tena Dr slaa. Maana lowassa ni mroho wa madaraka tena sana tu.
 
mmemtumia na sasa mnamdamp mzee wa watu.
hamuaminiki nyie watu.
pole sana slaa. hiyo ndo chadema kama ulikuwa hujui.


Uongozi wetu wa chama chini ya Mbowe, Dr. Slaa, Baregu, Marando, Lissu, Mnyika, Mwalimu, Mdee tunaamini wapo makini, Mbowe mwenyewe alihakikisha kuwa haikuwa kazi rahisi kumpata Eddo, sasa yupo kwenye 18 zetu UKAWA tunatoboa.

Kwanza ieleweke kuwa CHADEMA tuna utaratibu wetu wa kumpata mgombea urais, tofauti na vyama vingine. Dr. Slaa angelikuwa anataka urais kwa utashi wake angekwisha chukua form zamani. Lakini kwasababu nia ni kuiondoa ccm madarakani ndiyo maana walikaa kama kamati wakafikia muafaka wa kumleta Eddo...... Pia ieleweke kuwa Dr. Slaa hajawahi kuota ndoto ya kuwa rais, lakini ameota ndoto ya kuifuta CCM. Kazi ya Dr. Slaa kama katibu mkuu wa CHADEMA ni kubwa na ya muhimu sana
 
Back
Top Bottom