Borat69
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,526
- 1,757
Mkuu Baba V,Wewe ndo uliyeleta mada..!?
Si unajua watu na multiple IDs humu. Itakuwa amejisahau kajibu kwa kutumia ID yake halisi.
Mkuu Baba V,Wewe ndo uliyeleta mada..!?
Wewe ndo uliyeleta mada..!?
Ndugu wana JF,
Naomba kupata updates za Dr. Ulimboka:
1. Je, bado ndie mwenyekiti wa madktari Tz?
2. Je, yupo nchini?
3. Vijana walopoteza kazi kwa misimamo yake inakuaje?
4. Je, kaamua kunyamaza au kunyamazishwa?
Mwenye dondoo atuwekee plz!
Ndugu wana JF,
Naomba kupata updates za Dr. Ulimboka:
1. Je, bado ndie mwenyekiti wa madktari Tz?
2. Je, yupo nchini?
3. Vijana walopoteza kazi kwa misimamo yake inakuaje?
4. Je, kaamua kunyamaza au kunyamazishwa?
Mwenye dondoo atuwekee plz!
Kama sikosei ameamua kua mganga wa Kienyeji yupo Kunduchi Mtongani.
Yatakushinda kwa uzushi..laitI ungejua usingeongea
We nani mpaka upate update zake
Wewe mbona hujanyamazishwa? Ngebe tu mtoto wa kiumeHii ndo sera ya ccm, watu wakileta domodomo ni kuwanyamazisha, kwa jerry muro yuko wapi?
ccm oyeeeee!
Kama wewe ni Daktari mwenzake, we ndo unapaswa kutupatia update kuhusu hali yake na sio kutuuliza sisi tulio mbali na upeo wa macho yenu !!!
Acha undondocha!
Ndugu wana JF,
Naomba kupata updates za Dr. Ulimboka:
1. Je, bado ndie mwenyekiti wa madktari Tz?
2. Je, yupo nchini?
3. Vijana walopoteza kazi kwa misimamo yake inakuaje?
4. Je, kaamua kunyamaza au kunyamazishwa?
Mwenye dondoo atuwekee plz!