njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,375
- 5,518
dr. Ulimboka is sufferring from amnesia. Amekwishawasahau watu waliomtesa hata wewe ungekuwa na amnesia kama ungeng'olew kucha na jino. we mwache huyo ndugu akae kwa amani.
kumbe! Na pia dr. Ana familia! So anaangalia maslahi ya familia yake.. Kuna watu washalichulia hili jambo kisiasa