Kwa hili ninakubaliana nawe JJB, bora anyamaze yaishe. Sisi tunaotaka aseme sio kwa sababu yoyote zaidi ya kutaka kusoma umbea tu. Watanzania sote tumemsaliti Dr.Ulimboka na wanaharakati wote waliowahi kuthubutu kulenga jiwe la kwanza lakini sisi tukaficha mikono yetu.Bora akae kimya na aendelee na maisha yake kama kawaida. Amekosa support kutoka kwa wanataaluma wenzake, na yeye ataonekana ndio mbaya kwa serikali na wananchi.
Just be what you were doctor, let the dramma end by confronting the press and do like Mwakyembe. Do not waste our precious time waiting for the glorious moment to punish the devils who did the kill-attempt on you. Twataka kujua uko upande gani?
je una uhakika hao wahusika wanaamini kwamba jamaa atakubaliana nao moja kwa moja?watamfatilia sana na anaweza kujikuta anawindwa na kufuatiliwa mpaka kwa watu atakaokuwa anawasiliana nao kwa karibu.pili waandishi wa habari lazima watamsumbua sana tu je hao waliomtaka anyamaze watakuwa na uhakika gani kwamba hatosema chochote kwao?huoni kwamba hii itamweka hatarini zaidi pindi hao waliomtaka anyamaze wakihisi kwamba huenda siku moja akaropoka.hata hivyo yeye ndio muamuzi ila ikitokea baya lolote likamfika kabla hajasema baadhi ya watu watafurahi kwani tayari watakuwa wamesha mchukulia kama mnafiki tayari.na kama alijua kama kuna hatari wakati wa mgomo hakuwahi kuhisi kwamba ile hali ya kuwa kiongozi wa mgomo ni hatari kwake.nawasilisha.
Kwa hili ninakubaliana nawe JJB, bora anyamaze yaishe. Sisi tunaotaka aseme sio kwa sababu yoyote zaidi ya kutaka kusoma umbea tu. Watanzania sote tumemsaliti Dr.Ulimboka na wanaharakati wote waliowahi kuthubutu kulenga jiwe la kwanza lakini sisi tukaficha mikono yetu.
Moja ya maneno na rai aliyoitoa Dr. baada ya kudhulumiwa afya na uhuru wake yalikuwa kuwataka Madaktari wenzake (na Watanzania kwa jumla) kuwa yeye yamemfika yaliyomfika, lakini waliobaki wanendelee na mapambano; matokeo yake, Madaktari walifanya nini na Watanzania tumefanya nini?
Baada ya Mwanahalisi kulezea kile ilichokijua na kuwataja watu na ubini wao na nambari zao za simu, Watanzania tumefanya nini? Tuseme Dr. Ulimboka aje na habari zile zile za Mwanahalisi, Watanzania tutafanya nini? Kama tuwatendaji kweli na sio wambea tu, tuchukue hatua juu ya yale ambayo tayari tunayajua kabla ya kutaka mengine mapya.
Tumwache Dr. apumue na sisi tuendelee na woga na blah blah blah zetu. Uchune Dokta, uchune!
hii umeiweka vizuri sana MAMMAMIA.Kwa hili ninakubaliana nawe JJB, bora anyamaze yaishe. Sisi tunaotaka aseme sio kwa sababu yoyote zaidi ya kutaka kusoma umbea tu. Watanzania sote tumemsaliti Dr.Ulimboka na wanaharakati wote waliowahi kuthubutu kulenga jiwe la kwanza lakini sisi tukaficha mikono yetu.
Moja ya maneno na rai aliyoitoa Dr. baada ya kudhulumiwa afya na uhuru wake yalikuwa kuwataka Madaktari wenzake (na Watanzania kwa jumla) kuwa yeye yamemfika yaliyomfika, lakini waliobaki wanendelee na mapambano; matokeo yake, Madaktari walifanya nini na Watanzania tumefanya nini?
Baada ya Mwanahalisi kulezea kile ilichokijua na kuwataja watu na ubini wao na nambari zao za simu, Watanzania tumefanya nini? Tuseme Dr. Ulimboka aje na habari zile zile za Mwanahalisi, Watanzania tutafanya nini? Kama tuwatendaji kweli na sio wambea tu, tuchukue hatua juu ya yale ambayo tayari tunayajua kabla ya kutaka mengine mapya.
Tumwache Dr. apumue na sisi tuendelee na woga na blah blah blah zetu. Uchune Dokta, uchune!
Watanzania tu watu wa ajabu sana na bado tuna safari ndefu. Najiuzuwia kutoa maoni yangu sasa ya kile kitakachotokea Oktoba/Novemba 2015.hii umeiweka vizuri sana MAMMAMIA.
Nakumbuka hata kabla hayajamfika Dr. Ulimboka kwenye mgomo wa kwanza, wanaharakati walienda Salender Bridge na japo watu walitangaziwa vizuri lakini hawakwenda kuwasupport. Siku ile wangelikuwepo alau watu 20,000 bila shaka mwangwi wake ungefika mbali sana maana hat wale wachache walisaidia serikali ku-intervene.
Watanzania tusijidanganye kwa kumgeuza mtu mmoja ndie aende front peke yake. Jeshi la mtu mmoja sio rahisi kupata mafanikio katika nchi yenye watu million 60,000,000
Siyo kama amezimwa bali baada ya tafakuri mwanana aliyoifanya kuhusu kadhia nzima na jinsi ilivyomfikisha hapo, ametambua kuwa mwisho wa yote hatma yake na ya familia yake imo mikononi mwake yeye mwenyewe...na haipo mikononi mwa hao wanaojiita wanaharakati, ambao km walivyo duniani kote wanatumia watu km akina Ulimboka km turufu la muda kukidhi mahitaji ya muda.ni juu yake kuchagua kati ya heahima na utu wake au pesa, asiposema atakuwa amewasaliti wote waliomsapoti, just too bad.
kwa mfano, akisema leo na kutoa maelezo yanayofanana Kwa 99% na ya Gazeti la Mwanahalisi wewe binafsi utarespond vipi??Mimi kwa mtazamo wangu mdogo naona yeye kukaa kimya ni hatari zaidi kuliko akiongea. Akikaa kimya Adui watakua wanamwinda coz he possess some info ambazo ni hatari kwao in case akija sema. But ka atasema atakua ashasema kila kitu so there will be no reason ya kumwinda. He better go public and say what he knows. He can hide "what he doesnt want to make public" but he will be considered "keshasema" if keshaingia woga. Next time iwe somo tusifanye mambo ya ile movie "Project X". We should be ready for the consequences of our dids
acheni kumdanganya dr uli,acheni kumtumia kisiasa dr uli,mwacheni dr uli apiganie uhai wake jamani.nyie mnamchochea agombane na watu nmkiwa kwenye vyumba vyenu mmejificha na kurusha post humu jf.mwacheni ulimboka apumzike
acheni kumdanganya dr uli,acheni kumtumia kisiasa dr uli,mwacheni dr uli apiganie uhai wake jamani.nyie mnamchochea agombane na watu nmkiwa kwenye vyumba vyenu mmejificha na kurusha post humu jf.mwacheni ulimboka apumzike
Kaka ushahuri wako wa kitoto kama unajiamini taja jina lako la ukweli na unapofanya kazi ili tujue kama una moyo wa kupigania haki za wanyonge kamaThen kilichomfanya apiganie madai ya watu ni nini? unajua maana ya kuwa kiongozi, huwezi kuongoza kama una uoga. A Grain of Wheat Must Die in order to Reproduce - soma kitabu hicho cha Ngugi wa Thiong'o
Tumeshasema habari za Dr. Ulimboka zimetuchosha hapa JF pelekeni Issa Michuzi Blog hizo habari