Dr. Tulia utashinda IPU sio Mbeya

Dr. Tulia utashinda IPU sio Mbeya

Mnajifariji sana,amshukuru magufuli na ubunge wa sandakalawe.mama mwenyewe hamkubali uyo bi kiroboto.ndo mana alikwenda concert la sugu Moto chini.jiulize
mimi tena ndio nijiulize?

madhara ya kujiuliza na kujijibu mwenyewe matokeo yake ni kujinyonga, kana kwamba hilo ndio jibu sahihi kwa ulichojiuliza mwenyewe.
 
Kwa hiyo unafikiri akija Mbeya huwa anakuja kudhurura kama wewe ufanyavyo?
Unakuwa mjinga na kuwashalilisha Wanyiha/Wasafwa kama unamuabudu huyo kidudu mtu Tulia Ackson. Huyo kwanza ni mhamiaji kutoka Tukuyu. Ningekuona wa maana kama ungekuwa unapigania jimbo lirudi kwa wazawa.
 
Wengi tuliamini Sugu alikuwa hasikilizwi kwa sababu alikuwa anatoka upinzani, kumbe sio! Ile barabara kuu ya ajali nyingi za kutisha kutoka Mbeya kwenda Tunduma sie tuliamini sasa imepata mwarobaini ambaye ni Tulia Aksoni kumbe tulikosea sana, hamna kitu kabisa.

Hiyo barabara ndio haizungumzwi kabisa, bora Sugu alikuwa anaipigia kelele. Hvi nyie wabunge wa Mkoa wa Mbeya hasa nyie ambao mpo kando kando ya hiyo barabara eti mnaendesha matambiko ya kupunguza ajali wakati hiyo barabara ni nyembamba kupishana tu shida inataka ipanuliwe angalau njia nne, lakini mmekazana na waganga wa kienyeji!

Sisi wananchi tunamshangaa Tulia, ye ndio angekuwa mstari wa mbele kwenye hili kwa sababu wanasema ana nguvu serikalini sasa hata yeye ziiiii! Sasa tofauti yake na Sugu ipo wapi?

Mambo mengi Tulia pale Mbeya ni kama umeshindwa na ndio maana badala kupambana unakazania Marathon tu, maana ndio kitu unakijua zaid!

Sasa tumeshaamua jimbo halitagawanywa, utagombea hapo hapo Mbeya mjini ili tukufundishe adabu.
Tulia atashinda Mbeya hata Kwa lazima sio tuu IPU so Punguzeni muweweseko.
 
Uwezo wa Dr Tulia kiuongozi ni mkubwa sana,ni kiongozi makini,mchapa kazi , mbunifu,mwenye maono na akili kubwa.Ndio maana kwa uwezo wake mkubwa Dunia inamhitaji ili akawaongoze kwa kuwa Rais wa umoja wa mabunge Duniani. Dr Tulia amekuwa mwalimu wa shule kuu ya sheria pale mlimani. unafikiri vichwa panzi aina yako unaweza ukafanya kazi hiyo? Unaweza ukafundisha ukaeleweka? Dr Tulia amekuwa naibu mwanasheria Mkuu wa serikali. Unafikiri unaweza kupewa nafasi hiyo kama kichwa chako hakipo sawa na kidogo kiufahamu kama kuku wa kisasa? Dr Tulia ni akili kubwa ile,Ni kiongozi na Nusu. Ukienda hovyo na mikurupuko ya hoja ni lazima upotezwe fahamu na kuzimia chini. Huoni Machadema alipoingia Bungeni namna alivyowakaba koo mpaka wakashindwa kupumua? Huoni wakina sugu walivyonywea na kuamua kunyoosha mikono juu? Dr Tulia ndio Nembo ya wana Mbeya na fahari ya nyanda za juu kusini.
Kama ni mwanaume basi kuna shida pahala
 
Ndoto za alinacha hizo,hata avae hirizi kwenye kiharage.mbeya hapiti ng'oooo.we Kaa huko huko igamba udanganye watu
Atapita kwa kishindo. Nyie wezi wa chadema mmekumbuka ufisadi wenu mlioufanya hapa mbeya hakuna mjinga atahangaika na Chadema. Hakuna kitu Chadema walichofanya Mbeya mjini zaidi ya wizi na ufisadi
 
Itakuwa unaota usingizini wewe .Kazi anayoifanya Dr Tulia pale Mbeya mjini ni kubwa sana ambayo Sugu hata angepewa miaka mia asingeweza kuifanya hata robo tu .Ni kwa juhudi za Dr Tulia sasa Mbeya inakwenda kujengwa Barabara za njia nne kutoka igawa Mbeya hadi Tunduma kwa km 237.9. kazi hii maandalizi yake yameshakamilika na pesa ipo Tayari .miradi mingi sana imejengwa mkoani Mbeya kuanzia shule , zahanati, vituo vya afya ,maji kila sehemu, barabara za mitaa n.k .sasa Mbeya inapendeza na kung'aa kwa maendeleo kila sehemu.wafanyabiashara wanafanya biashara kwa amani na utulivu tofauti na hapo awali jiji lilipokuwa chini ya uongozi wa CHADEMA ambapo lilitawaliwa na mivurugu ya kila aina isiyo koma wala kuwa na kikomo.

Dr Tulia ameviwezesha vikundi mbalimbali vya akina mama na vijana Kupata mitaji kwa kuvipatia pesa za kutosha.ni Dr Tulia aliyewapa vijana wengi sana bodaboda na bajaji ambazo zinawasaidia katika kujipatia kipato cha kila siku, Ni Dr Tulia amekuwa akiwasaidia wajane ,yatima na wazee misaada ya kila aina ambayo imeleta tabasamu na matumaini kwao.

Ndio maana Mbeya kwa umoja wao na kwa kauli moja wameamua kwenda na Dr Tulia tena uchaguzi ujao,wameamua na wamejiandaa kumpigia kura za ndio kwa kishindoo uchaguzi ujao.
Umeandika bla bla tupu, sijaona hayo maendeleo aliyowaletea wana Mbeya!
 
Nyie wapumbavu mkiongozwa na Sugu hakuna chochote mlichokifanya mbeya mjini zaidi ya wizi tu. Tulia trust imekuwa mkombozi wa wanambeya. Tulia ni mbunge wa milele wa Mbeya mjini
Daah!? hayo mengine wacha nikuachie mwenyewe,
lakini maana ya milele unaijua we mke wa mtu?
 
Nyie wapumbavu mkiongozwa na Sugu hakuna chochote mlichokifanya mbeya mjini zaidi ya wizi tu. Tulia trust imekuwa mkombozi wa wanambeya. Tulia ni mbunge wa milele wa Mbeya mjini
Inaonekana mkuu nawe uliambulia mkopo imekuwa rushwa sasa
 
Itakuwa unaota usingizini wewe .Kazi anayoifanya Dr Tulia pale Mbeya mjini ni kubwa sana ambayo Sugu hata angepewa miaka mia asingeweza kuifanya hata robo tu .Ni kwa juhudi za Dr Tulia sasa Mbeya inakwenda kujengwa Barabara za njia nne kutoka igawa Mbeya hadi Tunduma kwa km 237.9. kazi hii maandalizi yake yameshakamilika na pesa ipo Tayari .miradi mingi sana imejengwa mkoani Mbeya kuanzia shule , zahanati, vituo vya afya ,maji kila sehemu, barabara za mitaa n.k .sasa Mbeya inapendeza na kung'aa kwa maendeleo kila sehemu.wafanyabiashara wanafanya biashara kwa amani na utulivu tofauti na hapo awali jiji lilipokuwa chini ya uongozi wa CHADEMA ambapo lilitawaliwa na mivurugu ya kila aina isiyo koma wala kuwa na kikomo.

Dr Tulia ameviwezesha vikundi mbalimbali vya akina mama na vijana Kupata mitaji kwa kuvipatia pesa za kutosha.ni Dr Tulia aliyewapa vijana wengi sana bodaboda na bajaji ambazo zinawasaidia katika kujipatia kipato cha kila siku, Ni Dr Tulia amekuwa akiwasaidia wajane ,yatima na wazee misaada ya kila aina ambayo imeleta tabasamu na matumaini kwao.

Ndio maana Mbeya kwa umoja wao na kwa kauli moja wameamua kwenda na Dr Tulia tena uchaguzi ujao,wameamua na wamejiandaa kumpigia kura za ndio kwa kishindoo uchaguzi ujao.

Wewe ni mjinga kabisa unayetakiwa kueleweshwa kwa viboko.

Hizo kandarasi zimesainiwa juzi tu karibia 10. Unaelewa lakin mchakato wake upoje hadi zianze kujengwa?

Tulia ana miaka mingapi pale Mbeya? Kuna sehemu gani utasema kweli hapa alipigania tulia haddi pakawa. Mbeya imebaki kama mji uliobitani. Kushukuru ni wananchi wa hapo wanajua kujipambania kuleta maendeleo yao.
 
Wengi tuliamini Sugu alikuwa hasikilizwi kwa sababu alikuwa anatoka upinzani, kumbe sio! Ile barabara kuu ya ajali nyingi za kutisha kutoka Mbeya kwenda Tunduma sie tuliamini sasa imepata mwarobaini ambaye ni Tulia Aksoni kumbe tulikosea sana, hamna kitu kabisa.

Hiyo barabara ndio haizungumzwi kabisa, bora Sugu alikuwa anaipigia kelele. Hvi nyie wabunge wa Mkoa wa Mbeya hasa nyie ambao mpo kando kando ya hiyo barabara eti mnaendesha matambiko ya kupunguza ajali wakati hiyo barabara ni nyembamba kupishana tu shida inataka ipanuliwe angalau njia nne, lakini mmekazana na waganga wa kienyeji!

Sisi wananchi tunamshangaa Tulia, ye ndio angekuwa mstari wa mbele kwenye hili kwa sababu wanasema ana nguvu serikalini sasa hata yeye ziiiii! Sasa tofauti yake na Sugu ipo wapi?

Mambo mengi Tulia pale Mbeya ni kama umeshindwa na ndio maana badala kupambana unakazania Marathon tu, maana ndio kitu unakijua zaid!

Sasa tumeshaamua jimbo halitagawanywa, utagombea hapo hapo Mbeya mjini ili tukufundishe adabu.
Mkuu mbona unamkatisha tamaa mwenzio😆😆
 
Nyie wapumbavu mkiongozwa na Sugu hakuna chochote mlichokifanya mbeya mjini zaidi ya wizi tu. Tulia trust imekuwa mkombozi wa wanambeya. Tulia ni mbunge wa milele wa Mbeya mjini
Kwani Chawa Tulia kafanya nini?
 
Mnajifariji sana,amshukuru magufuli na ubunge wa sandakalawe.mama mwenyewe hamkubali uyo bi kiroboto.ndo mana alikwenda concert la sugu Moto chini.jiulize
Tulia Ackson bila mbeleko ya Serikali sidhani kama ana uwezo wa kushinda hata Udiwani
 
Itakuwa unaota usingizini wewe .Kazi anayoifanya Dr Tulia pale Mbeya mjini ni kubwa sana ambayo Sugu hata angepewa miaka mia asingeweza kuifanya hata robo tu .Ni kwa juhudi za Dr Tulia sasa Mbeya inakwenda kujengwa Barabara za njia nne kutoka igawa Mbeya hadi Tunduma kwa km 237.9. kazi hii maandalizi yake yameshakamilika na pesa ipo Tayari .miradi mingi sana imejengwa mkoani Mbeya kuanzia shule , zahanati, vituo vya afya ,maji kila sehemu, barabara za mitaa n.k .sasa Mbeya inapendeza na kung'aa kwa maendeleo kila sehemu.wafanyabiashara wanafanya biashara kwa amani na utulivu tofauti na hapo awali jiji lilipokuwa chini ya uongozi wa CHADEMA ambapo lilitawaliwa na mivurugu ya kila aina isiyo koma wala kuwa na kikomo.

Dr Tulia ameviwezesha vikundi mbalimbali vya akina mama na vijana Kupata mitaji kwa kuvipatia pesa za kutosha.ni Dr Tulia aliyewapa vijana wengi sana bodaboda na bajaji ambazo zinawasaidia katika kujipatia kipato cha kila siku, Ni Dr Tulia amekuwa akiwasaidia wajane ,yatima na wazee misaada ya kila aina ambayo imeleta tabasamu na matumaini kwao.

Ndio maana Mbeya kwa umoja wao na kwa kauli moja wameamua kwenda na Dr Tulia tena uchaguzi ujao,wameamua na wamejiandaa kumpigia kura za ndio kwa kishindoo uchaguzi ujao.

We hauishi mbeya mjini .barabara kibao ni mbovu bora hata Sugu alijitahidi.ukienda Nonde,mabatini,Ghana,iziwa,Nsoho hakupitiki Kwa ubovu wa miundo mbinu.sasa wewe mwenzetu sijui unaishi mbeya mjini ipi?? Tulia anachoweza ni mbio.kata ambazo Tulia nina uhakika atapata kura ni Iziwa na Nsoho ambayo kuna wasafwa 97%.wasafwa wanajulikana ni washamba..ila sio wengi katika hizo kata.ila kiukweli Kwa uchaguzi wa haki Mbeya mjini Tulia hapiti.
 
Itakuwa unaota usingizini wewe .Kazi anayoifanya Dr Tulia pale Mbeya mjini ni kubwa sana ambayo Sugu hata angepewa miaka mia asingeweza kuifanya hata robo tu .Ni kwa juhudi za Dr Tulia sasa Mbeya inakwenda kujengwa Barabara za njia nne kutoka igawa Mbeya hadi Tunduma kwa km 237.9. kazi hii maandalizi yake yameshakamilika na pesa ipo Tayari .miradi mingi sana imejengwa mkoani Mbeya kuanzia shule , zahanati, vituo vya afya ,maji kila sehemu, barabara za mitaa n.k .sasa Mbeya inapendeza na kung'aa kwa maendeleo kila sehemu.wafanyabiashara wanafanya biashara kwa amani na utulivu tofauti na hapo awali jiji lilipokuwa chini ya uongozi wa CHADEMA ambapo lilitawaliwa na mivurugu ya kila aina isiyo koma wala kuwa na kikomo.

Dr Tulia ameviwezesha vikundi mbalimbali vya akina mama na vijana Kupata mitaji kwa kuvipatia pesa za kutosha.ni Dr Tulia aliyewapa vijana wengi sana bodaboda na bajaji ambazo zinawasaidia katika kujipatia kipato cha kila siku, Ni Dr Tulia amekuwa akiwasaidia wajane ,yatima na wazee misaada ya kila aina ambayo imeleta tabasamu na matumaini kwao.

Ndio maana Mbeya kwa umoja wao na kwa kauli moja wameamua kwenda na Dr Tulia tena uchaguzi ujao,wameamua na wamejiandaa kumpigia kura za ndio kwa kishindoo uchaguzi ujao.
Kodi inakusanywa na serikali,mbunge anapeleka ombi ,sasa sugu alipeleka maombi hayajatekelezwa kwa figisu za ccm ulitaka afanyeje
 
Itakuwa unaota usingizini wewe .Kazi anayoifanya Dr Tulia pale Mbeya mjini ni kubwa sana ambayo Sugu hata angepewa miaka mia asingeweza kuifanya hata robo tu .Ni kwa juhudi za Dr Tulia sasa Mbeya inakwenda kujengwa Barabara za njia nne kutoka igawa Mbeya hadi Tunduma kwa km 237.9. kazi hii maandalizi yake yameshakamilika na pesa ipo Tayari .miradi mingi sana imejengwa mkoani Mbeya kuanzia shule , zahanati, vituo vya afya ,maji kila sehemu, barabara za mitaa n.k .sasa Mbeya inapendeza na kung'aa kwa maendeleo kila sehemu.wafanyabiashara wanafanya biashara kwa amani na utulivu tofauti na hapo awali jiji lilipokuwa chini ya uongozi wa CHADEMA ambapo lilitawaliwa na mivurugu ya kila aina isiyo koma wala kuwa na kikomo.

Dr Tulia ameviwezesha vikundi mbalimbali vya akina mama na vijana Kupata mitaji kwa kuvipatia pesa za kutosha.ni Dr Tulia aliyewapa vijana wengi sana bodaboda na bajaji ambazo zinawasaidia katika kujipatia kipato cha kila siku, Ni Dr Tulia amekuwa akiwasaidia wajane ,yatima na wazee misaada ya kila aina ambayo imeleta tabasamu na matumaini kwao.

Ndio maana Mbeya kwa umoja wao na kwa kauli moja wameamua kwenda na Dr Tulia tena uchaguzi ujao,wameamua na wamejiandaa kumpigia kura za ndio kwa kishindoo uchaguzi ujao.
Umeongea sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom