Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Ushindi kilioupata chama cha Democrasia na maendeleo na mgombea wake wa Urais
katika uchaguzi mkuu wa Mwaka Jana sio jambo dogo kwao na kwa wananchi pia.
Hivyo ninaomba kujua ni lini DR ataanza safari kuzunguka nchi nzima kuwashukuru
wananchi kwa support waliyompa.
Ni vyema akatumia nafasi hiyo kufafanua vizuri swala la bei za vifaa vya ujenzi, elimu
bure na huduma za afya bure na katiba mpya.
Ninatoa omba hili nikitambua bila shaka kwamba yeye ndio aliyeshinda katika nafasi
ya urais.
katika uchaguzi mkuu wa Mwaka Jana sio jambo dogo kwao na kwa wananchi pia.
Hivyo ninaomba kujua ni lini DR ataanza safari kuzunguka nchi nzima kuwashukuru
wananchi kwa support waliyompa.
Ni vyema akatumia nafasi hiyo kufafanua vizuri swala la bei za vifaa vya ujenzi, elimu
bure na huduma za afya bure na katiba mpya.
Ninatoa omba hili nikitambua bila shaka kwamba yeye ndio aliyeshinda katika nafasi
ya urais.