rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
Akihojiwa kuhusu hali ya kisiasa nchini Katibu Mkuu wa CHADEMA alisema watanzania wanatakiwa kuwa makini kuliko kipindi chochote,watoe adhabu stahiki kwa CCM.Alienda mbali zaidi na kusema watanzania wanahitaji safari ya uhakika kufika kwenye kilele cha mafanikio.Alisisitiza kuwa hakuna sababu ya safari ya matumaini wakati nchi imejaa rasilimali ambazo mataifa ya kigeni wanazitolea macho."Kuwa na CCM ni kuishi kwa matumaini,hujui na huna uhakika wa mlo,ajira,shule,soko nk,sasa unahitaji kuishi kwa matumaini na rasilimali zote hizi?" alihoji Dr.Slaa.Kauli hii ni pigo kwa Lowasa na kuonekana kufeli dakika za mwanzo
Hiki kibabu hakijaleta kibomu kingine cha hadithi ya ufisadi! Maana anaishi kwa kuleta skendo tu bila utatuzi wa shida za maendeleo ya wananchi.