franksarry
JF-Expert Member
- Nov 9, 2009
- 1,284
- 481
Dr Slaa umenena.
kumsilkiliza ni kutaka kujua kama alivyoahidi kutujuza kashfa ya richmond alihusika au scapegoat.je kwa mara ya kwanza anaweza kuwaambia watz jambo muhimu,kwani mtia nia ni bubu ,kumbuka ni miongoni mwa kumi bora bubu bungeni.baada ya kumsikiliza nimehuzunishwa na kufedheheshwa sana ameshidwa kujisafisha.si wakati matumaini wa kupeana matumaini ni wakati wa kutumia resources zetu ,bandari etc.hana mipango yoyote endelevu .,tumemsikiliza ni mwizi kama nyoka wenye makengeza msaka pesa.haumuungi mkono.jiandikishe chukua hatua jawabu ni UKAWALowassa anakubalika sana.
Jana kila kona niliyopita watu wanasikiliza hotuba yake.
Nadhani ataleta matumaini mapya.
mafisadi wamekuteketeza hata hujitambui ! poor you !Hiki kibabu hakijaleta kibomu kingine cha hadithi ya ufisadi! Maana anaishi kwa kuleta skendo tu bila utatuzi wa shida za maendeleo ya wananchi.
Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa hiyo ni kauli ya Dr Slaa ... CHADEMA na UKAWA wanatakiwa waangalie mtanange wa ndani ya CCM then ndo waje na data zilizokamilika; sasa hivi inaonekana kama UKAWA nayo ni katka timu za CCM...Grrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Endelea na ukombozi Mh slaa raisi wetu watanzania
nikikumbuka uchakachuaji wa maoni ya watanzania kwenye katiba mpya na kashfa ya escrow na majigambo yashabani gurrumo sina hamu na mgombea yeyote wa ccm.
Wewe unaugua ugonjwa hatari wa EPIDOMIA wahi hospitali haraka iwezekanavyo. Huo ugonjwa ni balaa. Unafanya uwezo wako WA kufikiri kuwa kama NYANI yaani mwana wewe ni NYANI kabisa!Akipitishwa Lowassa itakuwa ndio mwisho wa UKAWA.
Hali inaonyesha Lowassa anakubalika kwa Wananchi, CCM na hadi serikalini.
Akihojiwa kuhusu hali ya kisiasa nchini Katibu Mkuu wa CHADEMA alisema watanzania wanatakiwa kuwa makini kuliko kipindi chochote, watoe adhabu stahiki kwa CCM. Alienda mbali zaidi na kusema watanzania wanahitaji safari ya uhakika kufika kwenye kilele cha mafanikio.
Alisisitiza kuwa hakuna sababu ya safari ya matumaini wakati nchi imejaa rasilimali ambazo mataifa ya kigeni wanazitolea macho;
"Kuwa na CCM ni kuishi kwa matumaini, hujui na huna uhakika wa mlo, ajira, shule, soko nk, sasa unahitaji kuishi kwa matumaini na rasilimali zote hizi?" Alihoji Dr.Slaa.
Kauli hii ni pigo kwa Lowasa na kuonekana kufeli dakika za mwanzo