Dr Slaa Vs Lowassa kwenye matokeo ya ubunge!

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Dr Slaa aliweza kuongeza idadi ya wabunge wa chadema kutoka watano mwaka 2005 hadi kufikia 23 mwaka 2010.hili ni ongezeko la wabunge 18.Kipindi hiki Chadema ilikuwa inasimama yenyewe kama yenyewe.

Kwa upande wa lowassa ameweza kuongeza wabunge wa chadema kutoka 23 hadi 34 huu ni wastani wa wabunge 11.Huku akisaidiwa na muungano wa UKAWA.Pia Chadema iliweza kuanguka katika majimbo kadhaa.

KWA UFUPI Ukitazama performance ya Slaa na Lowasa ndani ya Chadema utajionea ukweli kuwa Slaa ndiye angefaa kusimama ndani ya Ukawa.

Slaa ndiye aliyejenga msingi kama katibu mkuu...msingi huu ndio siri ya ushindi kwenye viti vya udiwani.
 
Elimu ni muhimu kweli kama apo ndio unaona umetoa hoja kichwani bado ni mweupe sana ubongo wako haufanyi kazi
 
DU hebu huyo msaliti msimtaje jamani, amechezea sana maisha ya watanzania nilimwamini sana lakini kumbe hela zimempenda zaidi
 
Dr Slaa aliweza kuongeza idadi ya wabunge wa chadema kutoka watano mwaka 2005 hadi kufikia 23 mwaka 2010.hili ni ongezeko la wabunge 18.Kipindi hiki Chadema ilikuwa inasimama yenyewe kama yenyewe.

Kwa upande wa lowassa ameweza kuongeza wabunge wa chadema kutoka 23 hadi 34 huu ni wastani wa wabunge 11.Huku akisaidiwa na muungano wa UKAWA.Pia Chadema iliweza kuanguka katika majimbo kadhaa.

KWA UFUPI Ukitazama performance ya Slaa na Lowasa ndani ya Chadema utajionea ukweli kuwa Slaa ndiye angefaa kusimama ndani ya Ukawa.

Slaa ndiye aliyejenga msingi kama katibu mkuu...msingi huu ndio siri ya ushindi kwenye viti vya udiwani.

Kajadili yale ya ccm.tuache na masuala yetu ya chadema.wewe huwezi kusaidia.ungekuwa na huo uwezo ungemsaidia wasira,mwandri,kilango,na wale mawaziri wenu waliolambishwa -----.!
 
Dr Slaa aliweza kuongeza idadi ya wabunge wa chadema kutoka watano mwaka 2005 hadi kufikia 23 mwaka 2010.hili ni ongezeko la wabunge 18.Kipindi hiki Chadema ilikuwa inasimama yenyewe kama yenyewe.

Kwa upande wa lowassa ameweza kuongeza wabunge wa chadema kutoka 23 hadi 34 huu ni wastani wa wabunge 11.Huku akisaidiwa na muungano wa UKAWA.Pia Chadema iliweza kuanguka katika majimbo kadhaa.

KWA UFUPI Ukitazama performance ya Slaa na Lowasa ndani ya Chadema utajionea ukweli kuwa Slaa ndiye angefaa kusimama ndani ya Ukawa.

Slaa ndiye aliyejenga msingi kama katibu mkuu...msingi huu ndio siri ya ushindi kwenye viti vya udiwani.

Unajua ni dhahiri kabisa kwamba chadema imeharibika sana kwa ujio wa lowasa kwani chama hakijulikani ajenda yake ni ni ni hasa.
Huu ukweli watu wenye kufikiri vyema wanaujua kabisa kwani huyu lowasa alichokuwa anatafuta ni jukwaa la kupandia afike kwenye uraisi,alijaribu act wakambia hapa mzee hapana ni ngumu kukuuza kutokana na sera zetu ingawa pesa aliwapa,marehemu filikunjombe akatoa gari 2 za kampeni mzee waryoba naye akampa zito pesa za kampeni.

Hivyo huyu lowasa hakuwa na ajenda yoyote ya kutafita uraisi zaidi ya kumkomoa rafiki yake kikwete;chadema wameukwaa mkenge kabusa

Hii hoja ya eti lowasaa ana mvuto kuliko slaa inajengwa juu ya hoja dhaifu sana,hebu jiulizeni angesimama slaa kugombea uraisi ccm wangejenga hoja ipi dhidi ya chadema?
Na kwa muda huu ambao vijana wengi wameingia chadema de slaa angepata kura nyingi sana wabunge wengi sana na hata uraisi angeshinda

Jambo la msingi ni kwamba hivi vyama vya siasa visijengwe kuwa ni mali ya mtu au watu kadhaa tu tu wawe wanaamua
Uchaguzi uneisha na chadema wafanye tathmini ya nguvu kuhusu why wameshindwa na wayafanyie kazi matokeo ya tathmini hiyo
Nawashauri lead facilitatator atoke nje ya nchi
 
Kaongeza nini hapo? Hamna kitu ni zile za Masaini kwa Wamasai wenzake. Lowassa angekuwa Ccm vingeenda huko,amgekua chama chochote hizo kura za wamasai wenzie. Hamna kitu ni workdone 0%. Kuna kitu kingine hapa wakati akiwa Katibu Mkuu Dr Slaa aliandaa vyema mambo ya uchaguzi na mikakati ya kuhimiza wananchi kujiandikisha na kupiga kura. Lowassa aliandaa nini? Walidanganyana tu anakuja na mamilioni ya wanachama na viongozi wa Ccm,wako wapi? Msitafute Mchawi mkae mkijua mchawi ni waliompokea Lowassa kwa kishindo na kuwakebehi waliohangaika na chama hadi kufikia hapo. Kwishaaaaaaaaaaaaaa subiri chama kikuu kipya cha upinzani chenye wazalendo wa ukweli katika miaka mitano ijayo na matokeo yataanza kuonekana kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
Dr Slaa aliweza kuongeza idadi ya wabunge wa chadema kutoka watano mwaka 2005 hadi kufikia 23 mwaka 2010.hili ni ongezeko la wabunge 18.Kipindi hiki Chadema ilikuwa inasimama yenyewe kama yenyewe.

Kwa upande wa lowassa ameweza kuongeza wabunge wa chadema kutoka 23 hadi 34 huu ni wastani wa wabunge 11.Huku akisaidiwa na muungano wa UKAWA.Pia Chadema iliweza kuanguka katika majimbo kadhaa.

KWA UFUPI Ukitazama performance ya Slaa na Lowasa ndani ya Chadema utajionea ukweli kuwa Slaa ndiye angefaa kusimama ndani ya Ukawa.

Slaa ndiye aliyejenga msingi kama katibu mkuu...msingi huu ndio siri ya ushindi kwenye viti vya udiwani.

wewe usikubali kufanana na jina lake basi,lengo kubwa la chama cha siasa ni kushika dola siyo kukaa bungeni na kupigizana kelele na wajinga,kwa kula halali lowassa alishinda kwa 62% kwa kura batili akapata 40% hapo kuna tofauti kubwa sana kati ya msaliti slaa na EDWARD LOWASSA
 
we jamaa acha ukiacha kutumia hiyo Id yako atakuwa na akili,kwani huwa nakuona unaakili lakini unazidiwa na mahaba ukisha kuwa na muungano wa vyama ni wazi sacrifies ziwepo za aina zozote ndicho kilicho tokea maana yake kugawana ingawa mwaka huu ongezeko si kubwa lakini ina maana kubwa ndani ya muungano
 
jingalao,najua una mwamini kiongozi wako Nape,jana walikuwa na mjadala Bbc nenda website yao umsikilize anavyo zungumza kuhusu nguvu za lowassa pamoja na kuongeza idadi ya wabunge
 
wewe usikubali kufanana na jina lake basi,lengo kubwa la chama cha siasa ni kushika dola siyo kukaa bungeni na kupigizana kelele na wajinga,kwa kula halali lowassa alishinda kwa 62% kwa kura batili akapata 40% hapo kuna tofauti kubwa sana kati ya msaliti slaa na EDWARD LOWASSA

Hoja iliyoko hapa ni idadi ya wabunge wa chadema alituletea lowassa dhidi ya ile aliyoleta Slaa.

Kimahesabu Slaa aliongeza zaidi kuliko lowassa.

Utasjondaje urais wakati ubunge umepigwa?
 
Dr Slaa aliweza kuongeza idadi ya wabunge wa chadema kutoka watano mwaka 2005 hadi kufikia 23 mwaka 2010.hili ni ongezeko la wabunge 18.Kipindi hiki Chadema ilikuwa inasimama yenyewe kama yenyewe.

Kwa upande wa lowassa ameweza kuongeza wabunge wa chadema kutoka 23 hadi 34 huu ni wastani wa wabunge 11.Huku akisaidiwa na muungano wa UKAWA.Pia Chadema iliweza kuanguka katika majimbo kadhaa.

KWA UFUPI Ukitazama performance ya Slaa na Lowasa ndani ya Chadema utajionea ukweli kuwa Slaa ndiye angefaa kusimama ndani ya Ukawa.

Slaa ndiye aliyejenga msingi kama katibu mkuu...msingi huu ndio siri ya ushindi kwenye viti vya udiwani.

Sikiliza we Jinga km unavojiita,
1. Safar hii kuna muungano wa ukawa si cdm pekee,so unapohesab wabunge hesab na wale wa cuf kwan pia ni impact ya lowassa through ukawa.
2. Kwa % ya kura za lowassa cdm itapata viti maalum 40,hili hulion we Jinga?
3. Hata ruzuku ya cdm na cuf zinapanda sasa kupitia mafanikio ya uchaguz huu is that not a gain?
4. Tumeangusha mawaziri na wabunge mizigo kwa lugha nyingne tutaongeza ufanisi wa serikal kwa kuondoa mizigo kwny sample space kwa hyo tumepunguza chance ya kuteuliwa mizigo kwny wizara na ndiyooo ztapungua bungen.
4. Hata ushnd wa Seif znz na kinachoendelea kwa ss,still unaweza kuuzungumza km sehem ya mchango wa lowassa.
5. Kwa Id yako na ulivofikir hujakosea chochote,ningeshangaa km ungefikir the other way!
 
Hoja iliyoko hapa ni idadi ya wabunge wa chadema alituletea lowassa dhidi ya ile aliyoleta Slaa.

Kimahesabu Slaa aliongeza zaidi kuliko lowassa.

Utasjondaje urais wakati ubunge umepigwa?

na wewe binti ndiyo hovyo kabisa, idadi ya wabunge wa chadema wakati wa slaa ilikuwa ni viti 24,lakini wakati wa lowassa ni viti 32,sasa ni nani kaongeza idadi ya wabunge?.na ukiongelea UKAWA,huo ni muungano kwa hiyo lazima sacrifice itokee
 
Dr Slaa aliweza kuongeza idadi ya wabunge wa chadema kutoka watano mwaka 2005 hadi kufikia 23 mwaka 2010.hili ni ongezeko la wabunge 18.Kipindi hiki Chadema ilikuwa inasimama yenyewe kama yenyewe.

Kwa upande wa lowassa ameweza kuongeza wabunge wa chadema kutoka 23 hadi 34 huu ni wastani wa wabunge 11.Huku akisaidiwa na muungano wa UKAWA.Pia Chadema iliweza kuanguka katika majimbo kadhaa.

KWA UFUPI Ukitazama performance ya Slaa na Lowasa ndani ya Chadema utajionea ukweli kuwa Slaa ndiye angefaa kusimama ndani ya Ukawa.

Slaa ndiye aliyejenga msingi kama katibu mkuu...msingi huu ndio siri ya ushindi kwenye viti vya udiwani.

Acha kufikiri kwa kutumia nyosso kumbuka waliachiana majimbo,ukitaka kupata tathmini nzuri na Anglia kwa ujumla wao kuanzia kura za Raisi na nafasi za ubunge na madiwani na halmashauri watakazoziongoza
 
Dr Slaa aliweza kuongeza idadi ya wabunge wa chadema kutoka watano mwaka 2005 hadi kufikia 23 mwaka 2010.hili ni ongezeko la wabunge 18.Kipindi hiki Chadema ilikuwa inasimama yenyewe kama yenyewe.

Kwa upande wa lowassa ameweza kuongeza wabunge wa chadema kutoka 23 hadi 34 huu ni wastani wa wabunge 11.Huku akisaidiwa na muungano wa UKAWA.Pia Chadema iliweza kuanguka katika majimbo kadhaa.

KWA UFUPI Ukitazama performance ya Slaa na Lowasa ndani ya Chadema utajionea ukweli kuwa Slaa ndiye angefaa kusimama ndani ya Ukawa.

Slaa ndiye aliyejenga msingi kama katibu mkuu...msingi huu ndio siri ya ushindi kwenye viti vya udiwani.

Jinga lao
Unasahahu kuwa The same Lowassa amesaidia CUF kupata wabunge wangapi ?
Angalia % za u Raisi na idadi ya viti Maalum na ruzuku.
Wacha kufikiri kwa kutumia Makalio
 
poor analysis

slaa alikua katibu mkuu wa chadema

lowasa ni mgombea tu

slaa kawa chadema kwa almost miaka 10+

lowasa ana miez 2

nyie vijana wa ccm uwezo wenu ni mdogo sana
 
Dr Slaa aliweza kuongeza idadi ya wabunge wa chadema kutoka watano mwaka 2005 hadi kufikia 23 mwaka 2010.hili ni ongezeko la wabunge 18.Kipindi hiki Chadema ilikuwa inasimama yenyewe kama yenyewe.

Kwa upande wa lowassa ameweza kuongeza wabunge wa chadema kutoka 23 hadi 34 huu ni wastani wa wabunge 11.Huku akisaidiwa na muungano wa UKAWA.Pia Chadema iliweza kuanguka katika majimbo kadhaa.

KWA UFUPI Ukitazama performance ya Slaa na Lowasa ndani ya Chadema utajionea ukweli kuwa Slaa ndiye angefaa kusimama ndani ya Ukawa.

Slaa ndiye aliyejenga msingi kama katibu mkuu...msingi huu ndio siri ya ushindi kwenye viti vya udiwani.
Umekosea kidogo
Alisaidiwa na mchumba wake
 
Back
Top Bottom