Dr Slaa ulimwelewa Askofu Gwajima?

Dr Slaa ulimwelewa Askofu Gwajima?

Nikwelli maana Joséphine. Sasa hiv hataki kula tena mihogo vile vijisent walivyopewa vimeisha Josephine keshachonga dili lingine ili visent vipatikane

Teh teh teh, wameuza utu kwa vijisent ona sasa vimeisha na aibu bado ipo kwao sasa.
 
Gwajima yupi? Au yule Askofu wa CHADEMA?
Maana CHADEMA imejaa wachungaji na sasa Askofu ndiye anayeongoza chama

CCM kumejaa wasafirisha pembe za ndovu, wanyanyasa WAISLAM na wafunga Masheikh... vipi hapo?
 
naskia upo live leo, mwenye taarifa kamili.
 
Nimeona headline kwenye gazeti la Sani
DR SLAA KUREJEA NCHINI, Kuzungumza na waandishi wa habari siku tatu kabla ya uchaguzi

sasa nakuuliza wewe Dr.W.Slaa hukumsikia au hukumuelewa Askofu Gwajima kuhusu onyo alilolitoa juu yako?

Mi nahisi uje kuzungumzia kitu kingine tofauti na siasa mkuu.

Huyo Gwajima ameamua kutumikia Mabwana wawili,Yesu Kristo na Chadema.Nawahurumia waumini wake
 
Last edited by a moderator:
Na mm Gwajima nashindwa kumuelewa yeye ni nani hasa, mwanasiasa au kiongozi wa dini?
 
Huyo Gwajima ameamua kutumikia Mabwana wawili,Yesu Kristo na Chadema.Nawahurumia waumini wake

kweli watu hamjielewi dini ni kitu kingine na siasa ni kitu kingine, isipokuwa kuna uwezekano mkubwa wa kufanya vitu hivi vyote viwili kwa wakati mmoja.
 
Back
Top Bottom