Habari za Slaa zimechosha sasa, hakuna jipya.
Aombe radhi pia kwa kuihusisha CCM na ufisadi kwa miaka yote,kwa sababu CCM sio mafisadi wala hawajawahi kuwa na kashfa yoyote ya kifisadi ukitoa ile ya iliyomuhusisha yule Nyota ing'aayo alieingia UKAWA ambaye yeye Slaa ndio ametuambia ndieye fisadi pekee nchini(satire)
choo kimehamia chadema ccm safi
Pamoja na kutufarahisha kwa hotuba yako,unapaswa kutuomba radhi. Wengi wetu wamechekelea makombora ya hasara kwa Lowassa na wenzake ndani ya CHADEMA. Sasa Dr. Slaa ni lulu chamani na anapendwa kwelikweli.
Sasa anamiminiwa sifa na airtime ya kutosha. Leo ataunguruma tena. Kwa hapo,tunamshukuru na kumpenda. Lakini,anapaswa kutuomba radhi wanachama wa CCM.Hawezi kuachwa hivihivi.
Dr. Slaa ameiita CCM choo. Yaani nyumba ya uchafu mkuu. Yaani sisi ni maggots kwakuwa tupo kwenye kinyesi chooni. Haiwezekani. Haikubaliki. Ajitokeze mara moja kutuomba msamaha. Ama sivyo,tutamtenga!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Pamoja na kutufarahisha kwa hotuba yako,unapaswa kutuomba radhi. Wengi wetu wamechekelea makombora ya hasara kwa Lowassa na wenzake ndani ya CHADEMA. Sasa Dr. Slaa ni lulu chamani na anapendwa kwelikweli.
Sasa anamiminiwa sifa na airtime ya kutosha. Leo ataunguruma tena. Kwa hapo,tunamshukuru na kumpenda. Lakini,anapaswa kutuomba radhi wanachama wa CCM.Hawezi kuachwa hivihivi.
Dr. Slaa ameiita CCM choo. Yaani nyumba ya uchafu mkuu. Yaani sisi ni maggots kwakuwa tupo kwenye kinyesi chooni. Haiwezekani. Haikubaliki. Ajitokeze mara moja kutuomba msamaha. Ama sivyo,tutamtenga!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
We nawe. Waambie kwanza CHADEMA wamuombe msamaha Lowassa kwa kumwita joka la mdimu king maker wa ufisadi hapa nchini. Na wakimaliza hapo waende tena wakapige magoti kwa Sumaye mtu waliyekuwa wanamwita kuwa ni waziri mkuu bomu kabisa aliyewahi kutokea katika nchi yetu, Fisadi na ambaye serikali yake ilisimamia mauaji ya Waislam wasiokuwa na hatia kule Zanzibar. Na wakimaliza hapo wahamie kwa......The list goes on and on. Kimsingi ninachotaka kusema ni kwamba hoja yako haina mashiko na ni ule ule ushabiki tuliouzoea siku zote!
sipati picha lipumba na slaa wangekuwa bado ukawa ...ingekuwa bonge la timu ccm sijui wangekuwa na hali gani
Slaa tumaini letu
Dr. Slaa bado nakungoja
Mzee Tupatupa
tatizo CCM hawaelewi Dr. alivyosema siasa ni sayansi, nionavyo mimi kama kweli ni sayansi basi Dr. alidhamiria kuwachafua ccm. na wao bila kuelewa wanashabikia. ccm wanatakiwa wabaki kichwa chini kama wanaamini siasa ni sayansi.Choo kipo CCM ila CDM imempokea Lowassa mwenye kinyesi coz ametoka CCM. Kimsingi, matusi haya ni makubwa kwa CCM kuliko kwa CDM na Ukawa