Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,521
- 6,517
Wagalatia kazi mnayo.Yesu aliwafanya wapatanishi kati ya nuru na giza? Aliwafanya wapatanishi kati ya shetani na Mungu? Wapatanishi kati ya fisadi na Slaa?
Unajichanganya sasa! Kupatana ni lazima huyo mtu unayepatana naye awe ni mtu ambaye mlitofautiana hapa mwanzo, huwezi patana na mtu ambaye hamjawahi kosana. Elewa hilo.