Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,049
- 1,022
- Thread starter
- #21
Mheshimiwa dr Slaa tumia busara. Na fanya hili kwa watanzania. Kumbuka umepambana kwa muda mrefu kukijenga chama na histiria imeishaandikwa. Sasa twende wote tukamalizie mkia ili tuchukue uhuru kwa mara ya pili. Mzee rudisha moyo hii ni vita lazima tushirikiane na kwa kutumia mbinu ambazo adui yetu hakuzitarajia ili tushinde.
Pamoja sana mkuu