lucy thawe
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 296
- 40
Mgana msindai ndani na sumaye ndiye atamchagua awe waziri mkuu wake chezea kununuliwa wewe
Lowasa ni dhahabu hata ukimchafua kila mtu anaisafisha na kuitumia sawa!!!
Afe beki afe kipa lowasa ni rais wa tanzania magufuli hatufai hata kwa unga robo
wengine tulishampuuza siku nyingi na nina imani hata mawe yamempuuza. kama unamwona wa maana chukua peleka nyumbani kwako. yaani mpaka mnalazimisha mnalipa vijana wenu ili waandame ionekane slaa ana watu lakini sio wanachadema? slaa ni mwepesi na mweupe kama karatasi iliyotoka kiwandani
kuna maufisadi makubwa zaidi ya kumi na most recently escrow ,mabehewa feki ,mbona kimya pesa za kwenye sandarusi. ..nakuheshimu kwa kuwa ni mtanzania otherwise ningekutukana.amka kifikra au badilisheni santuri hiyo ya Richmond zilipendwa ..naogopa kutukana kuna watoto (msaga sumu voice )Kama ni kweli niyasomayao humu kwamba Mzee Slaa hajaleta mtikisiko wowote kwa fisadi Lowasa na Genge lake, ni kwa nini sasa hamkai kimya na kumpotezea?
Ni kwa nini siku nzima JF yote imejaa habari kumhusu Mzee Slaa, kumkashifu na kumtukana?
Unawezaje kupoteza muda wako kumkashifu na kumtukana mtu ambaye hakuathiri kwa lolote? Ni kwanini Mbatia alienda kuongea na Wahandishi wa Habari? Ni kwa nini mnahangaika na kusema sijui mmeandika barua kwa Wazungu kumhusu Mzee Slaa na familia yake, sasa yote haya ni ya nini kama mnajua aliyoyasema hayajamuathiri fisadi Lowasa na Genge lake?
Kama ni kweli niyasomayao humu kwamba Mzee Slaa hajaleta mtikisiko wowote kwa fisadi Lowasa na Genge lake, ni kwa nini sasa hamkai kimya na kumpotezea?
Ni kwa nini siku nzima JF yote imejaa habari kumhusu Mzee Slaa, kumkashifu na kumtukana?
Unawezaje kupoteza muda wako kumkashifu na kumtukana mtu ambaye hakuathiri kwa lolote? Ni kwanini Mbatia alienda kuongea na Wahandishi wa Habari? Ni kwa nini mnahangaika na kusema sijui mmeandika barua kwa Wazungu kumhusu Mzee Slaa na familia yake, sasa yote haya ni ya nini kama mnajua aliyoyasema hayajamuathiri fisadi Lowasa na Genge lake?
Kama ni kweli niyasomayao humu kwamba Mzee Slaa hajaleta mtikisiko wowote kwa fisadi Lowasa na Genge lake, ni kwa nini sasa hamkai kimya na kumpotezea?
Ni kwa nini siku nzima JF yote imejaa habari kumhusu Mzee Slaa, kumkashifu na kumtukana?
Unawezaje kupoteza muda wako kumkashifu na kumtukana mtu ambaye hakuathiri kwa lolote? Ni kwanini Mbatia alienda kuongea na Wahandishi wa Habari? Ni kwa nini mnahangaika na kusema sijui mmeandika barua kwa Wazungu kumhusu Mzee Slaa na familia yake, sasa yote haya ni ya nini kama mnajua aliyoyasema hayajamuathiri fisadi Lowasa na Genge lake?
Miaka nane iliyopita ulikuwa bado haujazaliwa? Kwa maana hakuna jipya aliloliongea ambalo halikujadiliwa kwenye Bunge, yote aliyoongea yalisomwa na mwakyembe BungeniNashauri aandaliwe mkutano ktk majiji ma4 ili atuage na sie wananchi aje atueleze moja kwa moja sie wananchi kwani wengine hawana Tv,radio na hawanunuagi magazeti. Naomba Dr Slaa uandaliwe mkutano Mwanza,Mbeya,Arusha na kisha Dar.