Shetemba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 883
- 889
Mbona Mbowe hakauki kwenye vichwa vyenu au bei yake kubwaBavicha mko kwa ajili ya Mbowe na siyo kwa ajili ya chama cha chadema.
Mko tayari chadema ife kabisa ila mbowe abaki salama.!!
Hapa ndiyo usomi wenu unakuwa wa kutia mashaka.
Mbowe kula ruzuku ya chama kula ruzuku ya chama ,bavicha watakulinda.