sangarara chunga sana ndugu yangu. umeandika kitu cha maana bila shaka, ila sasa style uliyotumia ndio hatari, heading my dear, ungekuwa ni mtaani uso kwa uso makubwa yangekukuta, si unajua ile mwizi mwizi, anapigwa mawe, nondo yuko hoi chini ndio watu wanasema sio mwizi jamani, take care siku nyingine usianze hivyo, labda kama unaelezea ya yule wa chama kingine, wanaweza kukuvumilia, huyo uliyemgusa ni hatari.
Tatizo itakuwa ni namna ulivyofundishwa, umefundishwa kutii, kuheshimu na kufuata taratibu zilizowekwa na waliokutangulia, matokeo yake kila ukiona kitu kilichotofauti na mategemeo yako unadhani ni makosa, nyie ndio mnaokandamiza ubunifu nchini.Kwanza hajui alichokiandika,pili,kichwa cha thread hakiendani na maudhui ukisoma kwa jicho la tatu
Kama Dr si lolote ya nini kuandika kwa kirefu juu yake??? Kwa hiyo unataka kutuambia kwamba unapambana na upepo???!!!