Viongozi wa dini Ombea taifa Hili!! Naona giza mbele
Labda hao ndio baadhi ya wahuni walioshiriki kumteka Dr. Ulimboka. Aibu kubwa kwa CCM kuanzisha kundi la kigaidi chini ya ulezi wa Mwigulu.
tatizo ni yule dk wenu wa kuuga unga.Dr Slaa, kaja na Series mpya ndio kwanza tupo Episodes 1 kuna Episodes 20.
hv kisiwa cha amani kilichoachwa na kambarage ccm wanakipeleka wapi?
anaamanisha hajui hatma ya tanzania ijayo.UNAONA GIZA MBELE? DUH HACHA KUTUMIA GONGO WEWE, UTAKUWA KIPOFU KABISa
Inaonekana mwanzo watekaji walishindwa kutumia silaha kwasababu maganda na residue vingethibitisha ni silaha ya namna gani na inamilikiwa na nani.
Wasiwasi wangu sasa ni kama CCM/serikali imeanza kuingiza silaha kisirisiri bila usajili basi maisha ya Dr. Ulimboka na wengine yapo hatarini
Dr Slaa amedhihirisha kwa watanzania anataka msaada wa matibabu, hapa anazungumzia bastola moja number J137 hivi bastola moja kuingia nchini ndio unafanya press conference na kutoa tuhuma nzito na kuihisisha CCM kuidhibiti CDM? Hivi tumezungukwa na nchi ngapi zilizoathirika na vita na hatimae silaha kutapakaa sehemu mbalimbali katika miji yetu iliyopo pembezoni mwa nchi.Gun trafficking ni tatizo hata kwa nchi zilizoendelea hivi hapa anataka kutueleza hizo nyaraka ndio za hiyo bastola?
mkuu sijakuelewa kidogo hapo kwenye utulivu,hv kuna utulivu bila amani.kuhihita tanzania kisiwa cha amani ni uongo, mambo ya kisiasa hayo, ita kisiwa cha utulivu, hakuna amani tanzania
Mkuu kwanza anamalizia kupaka Carolitte, Akimaliza tu utamuona atakavyokurupuka huyo na pumba zake!longa mkuu longa, tumsubiri nepi na majibu yake hovyo
Broo, samahani lakini.Mbona hapa kuna upuuzi mtupu.
Andiko lote haluna fact hata moja kusubstantiate hizi serious allegations.
Ndo matatizo ya monologue, wanakijiji watshangilia tu Dr Slaa.
Leo akija mtu akasema CDM wameficha mabomu sehemu fulani kwa kujiandaa na uchaguzi , bila vielelezo si mtaamini ? Au siyo
hii ni kweli mkuu.Kuna tetesi kuwa baadhi ya vyombo vya serikali kama polisi, UWT,mahakama na nyinginezo zimeanza kuitosa CCM. Hii ni kwa vile wanaogopa maagizo mengi yamekuwa hayatekelezeki au la ni hatari kwa usalama. Stay tunn.