Dr. Slaa ni mpini wa kuiondoa CCM, historia kujirudia

Unahitaji kuweka nguvu nyingi sana ili kumshawishi mtu kuwa move walioifanya kumuweka Lowassa haikuwa ni kwa maslai binafsi ya Mwenyekiti...
 
DR.SLAA ndo raisi mtarajiwa hakuna mwenye uwezo kupambana naye wagombea uraisi ndani ya ccm wote 40 mpaka mamvi hakuna mwenye sifa za kuwa raisi wa tanzania .ndani ya ccm hakuna aliye msafi mwenye uwezo wa kumwonyeshea mwenzako kidole huo ndo ukweli japokuwa unauma.
DR.SLAA WATANZANIA TUNA IMANI KUBWA NA WEWE .
Punga kabisa wewe
 
Back
Top Bottom