ndenga JF-Expert Member Dec 20, 2010 1,788 1,302 Mar 19, 2012 #21 Ndio maana uchumi haukui, tumeweka maslahi ya chama mbele, vingine baadaye!!
V Vonix JF-Expert Member Apr 23, 2011 2,881 1,436 Mar 19, 2012 #22 Sina tatizo na hayo unayozungumza ndio yaliyoujaa moyo wako,Slaa sio tatizo,tatizo siku ya uchaguzi arumeru mashariki MSIIBE KURA.
Sina tatizo na hayo unayozungumza ndio yaliyoujaa moyo wako,Slaa sio tatizo,tatizo siku ya uchaguzi arumeru mashariki MSIIBE KURA.