Dr. Slaa na vurugu

Hansen Nasli

JF-Expert Member
Mar 18, 2012
883
337
Je hili unaliona..!?pindi Dr. Slaa anaponusa sehemu ambapo kampen zinaendelea panatokea vurugu,kama siyo vijana kupigana basi wananchi kupigwa mabomu,mfano wa kwanza juzi MWANZA tumeshuhudia vurugu kutokea baada ya yeye kutoka kuhutubia mkutano,tunasikia vurugu nyingine ARUMERU baada ya yeye kuingia katika viunga hivyo!je kulikoni?
 
Je hili unaliona..!?pindi Dr. Slaa anaponusa sehemu ambapo kampen zinaendelea panatokea vurugu,kama siyo vijana kupigana basi wananchi kupigwa mabomu,mfano wa kwanza juzi MWANZA tumeshuhudia vurugu kutokea baada ya yeye kutoka kuhutubia mkutano,tunasikia vurugu nyingine ARUMERU baada ya yeye kuingia katika viunga hivyo!je kulikoni?

umesha isoma hii hapahapa Jf?Usiku huu timu ya kampeni ya CCM na ile ya CHADEMA wamejikuta wakipambana kwa dakika kadhaa katika eneo la Meru Garden wilayani Arumeru ambapo ilidaiwa kuwa CCM walikuwa pale kutoa hongo kwa watu kadhaa na kisha Chadema kugundua mchezo huo na kuvamia kwa lengo la kuwakamata na kuwasambaratisha.

Ugomvi huo unadaiwa kusababisha gari la Violet kuvunjwa vioo kwa mawe na kisha CCM wakaenda kuripoti jambo hilo polisi na kudai kuwa wamevamiwa wakati wakiwa katika starehe zao Bar.

Taarifa zaidi juu ya tukio hili tutazipata asubuhi na maendeleo yake. Lakini kwa ufupi hivyo ndivyo mambo yalivyotokea usiku huu
 
umesha isoma hii hapahapa Jf?Usiku huu timu ya kampeni ya CCM na ile ya CHADEMA wamejikuta wakipambana kwa dakika kadhaa katika eneo la Meru Garden wilayani Arumeru ambapo ilidaiwa kuwa CCM walikuwa pale kutoa hongo kwa watu kadhaa na kisha Chadema kugundua mchezo huo na kuvamia kwa lengo la kuwakamata na kuwasambaratisha.

Ugomvi huo unadaiwa kusababisha gari la Violet kuvunjwa vioo kwa mawe na kisha CCM wakaenda kuripoti jambo hilo polisi na kudai kuwa wamevamiwa wakati wakiwa katika starehe zao Bar.

Taarifa zaidi juu ya tukio hili tutazipata asubuhi na maendeleo yake. Lakini kwa ufupi hivyo ndivyo mambo yalivyotokea usiku huu

temba kumbe uko huku pia? Safi sana.
 
DR Slaa ni mashine kubwa kila anapokanyaga ccm wanaingiwa na hofu na hata kufikia hatua ya kufanya hujuma mbalimbali kama kugawa rushwa na kutumia vijana wao kufanya vurugu huku wakisingizia kuwa ni vijana wa chadema, naona baada ya matusi kugonga mwamba wameamua vurugu kisha wakimbilie polisi amabako watabebwa kama kwa Tendwa,
 
Je hili unaliona..!?pindi Dr. Slaa anaponusa sehemu ambapo kampen zinaendelea panatokea vurugu,kama siyo vijana kupigana basi wananchi kupigwa mabomu,mfano wa kwanza juzi MWANZA tumeshuhudia vurugu kutokea baada ya yeye kutoka kuhutubia mkutano,tunasikia vurugu nyingine ARUMERU baada ya yeye kuingia katika viunga hivyo!je kulikoni?

Hawa Chadema wawe makini sana ...tayari mkakati wa ccm wa IGunga unaendelea ...kwa kutumia genge la wahuni 200 waliosafirishwa toka Mara....vijana Hawa Wana silaha....bastola,mapanga,visu ,sime ,bisbisi ,acid etc...

LENGo...

1.kuchoma moto nyumba za wenyeji ambao ni wana ccm na kusingiZia ni Chadema.
2.kuteka na kupora wana ccm ionekane ni Chadema
3.kurushia mawe magari ya ccm wenzao na kusingiZia Chadema
4.kuteka watu na kuwauwa...ie Hawa kule IGunga waliua zaidi ya watu 15..-ambao baada ya uchaguzi Maiti za watu walopotea ziliendelea kuonekana.
5.kumwagia watu tindikali zionekane ni Chadema
6.kufanya vurugu wakati matokeo ya awali yanaanZa kutoka ili ccm wapate Mwanya wakuite ffu .....warushe mabomu,ffu watakuja wakiwa na mabox tayari na wakati watu wanajifunika na moshi wa mabomu wao watabadili matokeo...

NINI Kifanyike?

Chadema wahubiri Amani mikutanoni..
Wawasisitize vijana wao kuwa makini na watu wanaowachikoza au wanaovaaa Sare Zao sio wote ni Chadema ...wengine wapo kundi la "al shabaab"
Wakazi wawe makini na wahamiaji ambao wapo kwenye kundi hii wanaosambazwa vijijini mwao........kwa kuwa wa wanafahamiana,itakuwa rahisi kutambua wageni miongoni mwao Wenye nia mbaya ...

Onyo kwa Dola...

Hatua ya ccm Kukodi mercenaries ni dalili mbaya .....Kama iliyokuwa ikifanywa na KAnu kuwakodi Mungiki....ni dalili za mwisho za chama kinachokufa...ie kutumia mamluki,kutumia siasa za majitaka...,kutumia dola ..etc..,....Hatua hizi hazitakuwa na faida kwa ccm zaidi zitaaharakisha kifo......kuna tofauti kubwa ua uelewa kati ya Arumeru na IGunga.......ccm wasitegemee propaganda ,vijarida...,mauwaji ,tindikali ...zitawasaidia kupata ushindi.....sanasana hata wakiwavika wafanya vurugu Sare za Chadema ....tayari wananchi wameshagundua .....na utafiti wa kiiteligensia unaonyesha wananchi wanawafuatilia kwa karibu sana ....Hawa mamluki...,wakazi wa Arumeru wana ushirikiano wa kipekee nje ya chama ......msishangae mkaamka asubuhi mkakuta Hao mamluki 200 wote wamechinjwa na mapanga na wameru ......kwani hii Siri imeshaliki hata kwa wananchi wa kawaida....na Hao wamekuwa common enemy wa kuwachonganisha wameru ....nao hawataki kuuliwa Kama Wana IGunga .

Watu wa usalama wa Taifa ingilieni haraka kusaidia Hawa mamluki warudi makwao haraka......WAmeru watawachinja........na IKULU ITABEBA LAWAMA......KWANI HII TAARIFA KWA SASA INAFUATILIWA HADI NA VUOMBO VYA NJE NCHI....HAO MAMLUKI KILA WAMESHAWEKEWA SURVEILLANCE YA KITAALAMU KABISA NA KILA MWENENDO WAO ...UNADAKWA NA KUREKODIWA .....NA MUDA SI MREFU WATAZINGIRWA..NA MAAFA YATAKUWA MAKUBWA SANA....NA HII INAWEZA KUSABABISHA WAKUU WA USALAMA ,POLISI NA HATA RAIS WETU APELEKWE THE HAGUE ..SIKU AKITOKA MADARAKANI...

CHUKUENI TAHADHARI......! Anaepata ujumbe huu ..Amuambie na mwenzake....!!! Amani ya nchi yetu ,na umoja wetu Kama taifa ni muhimu kuliko tamaa ya ccm kushinda Arumeru!!!!! Wekeni tu uwanja sawa na haki .mshindi wa jimbo la Arumeru ...hatakuwa RAIS WA JAMHURI,!
 
Je hili unaliona..!?pindi Dr. Slaa anaponusa sehemu ambapo kampen zinaendelea panatokea vurugu,kama siyo vijana kupigana basi wananchi kupigwa mabomu,mfano wa kwanza juzi MWANZA tumeshuhudia vurugu kutokea baada ya yeye kutoka kuhutubia mkutano,tunasikia vurugu nyingine ARUMERU baada ya yeye kuingia katika viunga hivyo!je kulikoni?

Chunguza harafu utuletee jibu hapa siyo kuuliza tu. Maana sisi wengine tupo huku lakini hizo fujo hatukuziona.
 
kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa Dr ndiye anaye command hizo unazoziita vurugu !!!
 
umesha isoma hii hapahapa Jf?Usiku huu timu ya kampeni ya CCM na ile ya CHADEMA wamejikuta wakipambana kwa dakika kadhaa katika eneo la Meru Garden wilayani Arumeru ambapo ilidaiwa kuwa CCM walikuwa pale kutoa hongo kwa watu kadhaa na kisha Chadema kugundua mchezo huo na kuvamia kwa lengo la kuwakamata na kuwasambaratisha.

Ugomvi huo unadaiwa kusababisha gari la Violet kuvunjwa vioo kwa mawe na kisha CCM wakaenda kuripoti jambo hilo polisi na kudai kuwa wamevamiwa wakati wakiwa katika starehe zao Bar.

Taarifa zaidi juu ya tukio hili tutazipata asubuhi na maendeleo yake. Lakini kwa ufupi hivyo ndivyo mambo yalivyotokea usiku huu



Nilikuwa eneo la tukio, u got the wrong picture. Mara nyingi Meru Garden ni ngome ya Chadema ndipo hata palipopigiwa kura za maoni.
Tukiwa tumetoka eneo la kampeni jioni saa kumi na mbili kama na nusu hivi ikapigwa simu Leganga kuwa madiwani wa Chadema walokuja Meru kuongeza nguvu walisimamishwa magari yao na vijana wa Ccm na kuwalazimisha wabandue mabango yao ya "Chagua Nassari". Tukatoka Leganga ngomeni na kwenda maji ya chai eneo la kwa Alois kuwanusuru madiwani. Tulipofika vijana wa ccm walikimbia, wengine walikimbilia Hortanzia na wengine walikimbilia kituo cha polisi usa. Mishe zote hizo zilikwisha ndani ya dakika tano baada ya watu kutoka leganga kufika.
Nilikuwepo.
 
Hivi Wasira na Nchemba wamesahau kwamba Nasari ndiye mgombea wa Chadema Arumeru mashariki! Hawa jamaa kwa jinsi wanavyomwogopa Dr. Slaa, jana kwenye kampeni zao zote wanamzungumzia Dr. Slaa tu! Kweli hawa watu ni wa ajabu! Au ndo kama inavyosema, mti ulio na matunda........
 
Jamani watu wasilazimishe mambo. Wameru nawafahamu hawana subira nimesoma kule. Matumizi ya kisu kwao c kuchinja kuku tu hata binadamu kwao sio shida.
 
Je hili unaliona..!?pindi Dr. Slaa anaponusa sehemu ambapo kampen zinaendelea panatokea vurugu,kama siyo vijana kupigana basi wananchi kupigwa mabomu,mfano wa kwanza juzi MWANZA tumeshuhudia vurugu kutokea baada ya yeye kutoka kuhutubia mkutano,tunasikia vurugu nyingine ARUMERU baada ya yeye kuingia katika viunga hivyo!je kulikoni?


Padre anahubiri siasa za chuki; Unakumbuka sera za Mchungaj Mtikila..wanakaribiana mambo yao
 
Padre anahubiri siasa za chuki; Unakumbuka sera za Mchungaj Mtikila..wanakaribiana mambo yao
3961196263_cc5c8a2753_o.jpg
 
Je hili unaliona..!?pindi Dr. Slaa anaponusa sehemu ambapo kampen zinaendelea panatokea vurugu,kama siyo vijana kupigana basi wananchi kupigwa mabomu,mfano wa kwanza juzi MWANZA tumeshuhudia vurugu kutokea baada ya yeye kutoka kuhutubia mkutano,tunasikia vurugu nyingine ARUMERU baada ya yeye kuingia katika viunga hivyo!je kulikoni?


hata aibu huna, ulijua unatoa debit kumbe credit kwa dr! MASKINI AKILI MALI KUMBE!kalale sawa?nitakuletea pipi ule, akili ikikomaa nitakuletea kitabu kinaitwa ''positive and radical thinking'' hope utajua mengi sawa katoto?
 
umesha isoma hii hapahapa Jf?Usiku huu timu ya kampeni ya CCM na ile ya CHADEMA wamejikuta wakipambana kwa dakika kadhaa katika eneo la Meru Garden wilayani Arumeru ambapo ilidaiwa kuwa CCM walikuwa pale kutoa hongo kwa watu kadhaa na kisha Chadema kugundua mchezo huo na kuvamia kwa lengo la kuwakamata na kuwasambaratisha.

Ugomvi huo unadaiwa kusababisha gari la Violet kuvunjwa vioo kwa mawe na kisha CCM wakaenda kuripoti jambo hilo polisi na kudai kuwa wamevamiwa wakati wakiwa katika starehe zao Bar.

Taarifa zaidi juu ya tukio hili tutazipata asubuhi na maendeleo yake. Lakini kwa ufupi hivyo ndivyo mambo yalivyotokea usiku huu

Haya ndiyo matatizo ya kuwa partial katika kusimamia sheria. Kama vyombo vya dola vitaachwa kuwa huru kutenda kazi zao bila ya watendaji kuhofia kupoteza kazi zao pindi wanakibana chama tawala basi tutarajie matendo ya wananchi kujichukulia sheria mkononi kukithiri, siyo tu katika kampeni bali hata katika mambo mengine pia.
 
Back
Top Bottom