Dr Slaa na Mkewe katika muonekano mpya.

Dr Slaa na Mkewe katika muonekano mpya.

Naona mkorogo na nywele za maiti kwa kwenda mbele. Kweli kuna siku wanawake weusi itakuwa hakuna duniani.
commred umeongea ukweli. watu wanafake kila kitu kwenye mihili yao. Bora wewe upo kwenye muonekano wa asili bibie.
 
ok, according to picha wamependeza.
...ila huko magharibi unene ni dalili ya stress na kwamba mambo sio mazuri... Inatafsiriwa kwamba watu wenye ma-stress, wanakula sana ili kujiliwaza (comfort eating).
Ma-fast food, junk food ndio mavyakula ya bei raisi kabisa huko mitaani...
 
Kweli siasa zinaleta stress, mbona wamependeza sana 😱😱😱
 
Muonekano mpya upi wa jiko lao au kipi?nawaona wako vilevile zaidi sio katibu mkuu tena wa chadema
 
Back
Top Bottom