makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Hili swala la CCM,NEC,UWT(Usalama wa Taifa) KUCHAKACHUA matokeo ya kura za Urais na Ubunge liko wazi kabisa na ushahidi upo.
Mifano halisi ni ucheleweshaji wa kutangaza matokeo kwenye maeneo yenye nguvu kubwa ya Upinzani hasa CHADEMA. Hii haikutokea kwa bahati mbaya ni MAKUSUDI. Angali kilichotokea Dar,Arusha,Mwanza,Mbeya,Shinyanga na maneneo mengine mengi.
Majimbo ya Nyamagana,Ilemera,Arusha Mjini,Karatu,Shinyanga Mjini kura zake mpaka jana Usiku NEC walikuwa bado HAWAJAZIJUMLISHWA KWENYE IDADI YA KURA ZA DR.SLAA KWA MAKUSUDI wakti tayari wasimamizi wa majimbo walizitangaza kwa SHINIKIZO ZA WANANCHI. Nec wamefanya kusudi kuchelewesha kujumlisha ili Kiwete aonekana kuwa anaongoza kwa mbali.
HAINGII AKILINI MTU UMPIGIE KURA MBUNGE WA CHADEMA HALAFU KURA YA URAIS UMPE MGOMBEA WA CCM KIWETE. MTU UNACHAGUA SERA ZA CHAMA SIYO SURA YA MTU. MIFANO:
JIMBO: CHAMA:----------------------------UBUNGE:-------------------RAIS:
ARUSHA MJINI CHADEMA................................56,208..........................54,208
CCM...........................................................36,107..........................39,107
MBEYA MJINI CHADEMA.................................46,411........................42,917
CCM...........................................................24,236........................32,249
MWANZA-NYAMAGANA CHADEMA......................38,171.........................30,991
CCM.............................................................27,883........................32,320
MWANZA-ILEMERA CHADEMA............................31,256..........................29,701
CCM..............................................................26,870........................9,143
MASWA MAGH CHADEMA.........................17,456.........................11,742
CCM....................................................12,824.........................17,104
MASWA MASH CHADEMA......................17,075.........................12,203
CCM............................. 17,014.........................21,150
Kali zaidi ni hii ya JIMBO LA Musoma mjini: Kutoka KURA 14,723 za Mbunge wa CCM na kuongezwa kufikia KURA 49,858 za KIKWETE.
MUSOMA MJINI CHADEMA....................21,335........................23,211
CCM.................................................14,723........................49,858???
Hii ni zaidi ya mara 3 ya kura za Mbunge.Haingii akilini mtu amkatae mbunge wa chama halafu ampe Rais wa chama cha mbunge huyu aliyemkataa. Labda kama mtu huyo anachagua SURA na siyo SERA!!!!!!!!!!!!!!
Mpaka sasa ukiingia kwenye WEBSITE YA TUME: http:/www.nec.go.tz Bado KURA HIZO HAZIONEKANI KWENYE MTANDAO. KWANINI HAWATAKI KUZIJUMLISHA? WANOGOPA NINI?
Soma hizi nukuu toka Gazeti la MWANANCHI toleo la leo 5/11/2010:
''..............Nao wasomi wameungana na madai ya Dk Slaa wakisema kuwa uchakachuaji matokeo ya kura nchini umekuwa aibu kwa taifa.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam jana, wasomi hao walisema kuna dalili zinazotia shaka kwamba matokeo ya urais yamechakachuliwa kwa kuwa hawaoni sababu kucheleweshwa kutangazwa.
"Tunajua kuwa hata kama CCM ingeshinda, isingeshinda kwa kura nyingi kiasi hicho. Kwa nini tumsifie mtu kuwa ameshinda kwa kishindo na huku amechakachua matokeo?"alisema Dk Fairles Ilomo, mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Tumaini, Iringa.
Dk Ilomo alisema haiingii akilini kuelezwa kuwa matokeo yamechelewa kutangazwa kwa sababu ya matumizi ya kompyuta katika hatua ya kuhesabu kwani wakati wa upigaji, wananchi hawakutumia kompyuta.
"Kwanini matokeo yasubiri kompyuta? Hakuna logic (mantiki) kusema kuwa kuingiza data kwenye kompyuta kulisababisha ucheleweshaji maana hata uchaguzi wa Marekani, walitumia kompyuta na matokeo yakawahi kutolewa," alisema Dk Ilomo.
"Ni kweli uchaguzi ulifanyika vizuri na kulikuwa na amani lakini katika hatua ya kuhesabu kura na kutangaza matokeo kulikuwa na uchakachuaji hasa katika maeneo nyeti.
"Rais aapishwe, lakini Dk Slaa ana haki ya kuendelea na malalamiko yake. Kama malalamiko hayo yakionekana yana ukweli, maamuzi mengine yafuate."
..............Mhadhiri mwingine chuoni hapo Harod Tairo alisema amestuka kuona matokeo hayo yanaonyesha kuwa watu wengi wamewapigia kura wabunge wa Chadema lakini si mgombea wake wa urais, yaani Dk Willibrod Slaa
"Mimi naamini kwamba wabunge wengi wa Chadema walichaguliwa kwa juhudi za Dk Slaa. Wananchi hawawezi kuchagua mbunge wa Chadema halafu rais wamchague wa CCM. Mimi naona matokeo hayaakisi halihalisi," alisema Tairo.
Hawa wasomi na Wahadhiri naungana nao kwa 100%.
Mifano halisi ni ucheleweshaji wa kutangaza matokeo kwenye maeneo yenye nguvu kubwa ya Upinzani hasa CHADEMA. Hii haikutokea kwa bahati mbaya ni MAKUSUDI. Angali kilichotokea Dar,Arusha,Mwanza,Mbeya,Shinyanga na maneneo mengine mengi.
Majimbo ya Nyamagana,Ilemera,Arusha Mjini,Karatu,Shinyanga Mjini kura zake mpaka jana Usiku NEC walikuwa bado HAWAJAZIJUMLISHWA KWENYE IDADI YA KURA ZA DR.SLAA KWA MAKUSUDI wakti tayari wasimamizi wa majimbo walizitangaza kwa SHINIKIZO ZA WANANCHI. Nec wamefanya kusudi kuchelewesha kujumlisha ili Kiwete aonekana kuwa anaongoza kwa mbali.
HAINGII AKILINI MTU UMPIGIE KURA MBUNGE WA CHADEMA HALAFU KURA YA URAIS UMPE MGOMBEA WA CCM KIWETE. MTU UNACHAGUA SERA ZA CHAMA SIYO SURA YA MTU. MIFANO:
JIMBO: CHAMA:----------------------------UBUNGE:-------------------RAIS:
ARUSHA MJINI CHADEMA................................56,208..........................54,208
CCM...........................................................36,107..........................39,107
MBEYA MJINI CHADEMA.................................46,411........................42,917
CCM...........................................................24,236........................32,249
MWANZA-NYAMAGANA CHADEMA......................38,171.........................30,991
CCM.............................................................27,883........................32,320
MWANZA-ILEMERA CHADEMA............................31,256..........................29,701
CCM..............................................................26,870........................9,143
MASWA MAGH CHADEMA.........................17,456.........................11,742
CCM....................................................12,824.........................17,104
MASWA MASH CHADEMA......................17,075.........................12,203
CCM............................. 17,014.........................21,150
Kali zaidi ni hii ya JIMBO LA Musoma mjini: Kutoka KURA 14,723 za Mbunge wa CCM na kuongezwa kufikia KURA 49,858 za KIKWETE.
MUSOMA MJINI CHADEMA....................21,335........................23,211
CCM.................................................14,723........................49,858???
Hii ni zaidi ya mara 3 ya kura za Mbunge.Haingii akilini mtu amkatae mbunge wa chama halafu ampe Rais wa chama cha mbunge huyu aliyemkataa. Labda kama mtu huyo anachagua SURA na siyo SERA!!!!!!!!!!!!!!
Mpaka sasa ukiingia kwenye WEBSITE YA TUME: http:/www.nec.go.tz Bado KURA HIZO HAZIONEKANI KWENYE MTANDAO. KWANINI HAWATAKI KUZIJUMLISHA? WANOGOPA NINI?
Soma hizi nukuu toka Gazeti la MWANANCHI toleo la leo 5/11/2010:
''..............Nao wasomi wameungana na madai ya Dk Slaa wakisema kuwa uchakachuaji matokeo ya kura nchini umekuwa aibu kwa taifa.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam jana, wasomi hao walisema kuna dalili zinazotia shaka kwamba matokeo ya urais yamechakachuliwa kwa kuwa hawaoni sababu kucheleweshwa kutangazwa.
"Tunajua kuwa hata kama CCM ingeshinda, isingeshinda kwa kura nyingi kiasi hicho. Kwa nini tumsifie mtu kuwa ameshinda kwa kishindo na huku amechakachua matokeo?"alisema Dk Fairles Ilomo, mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Tumaini, Iringa.
Dk Ilomo alisema haiingii akilini kuelezwa kuwa matokeo yamechelewa kutangazwa kwa sababu ya matumizi ya kompyuta katika hatua ya kuhesabu kwani wakati wa upigaji, wananchi hawakutumia kompyuta.
"Kwanini matokeo yasubiri kompyuta? Hakuna logic (mantiki) kusema kuwa kuingiza data kwenye kompyuta kulisababisha ucheleweshaji maana hata uchaguzi wa Marekani, walitumia kompyuta na matokeo yakawahi kutolewa," alisema Dk Ilomo.
"Ni kweli uchaguzi ulifanyika vizuri na kulikuwa na amani lakini katika hatua ya kuhesabu kura na kutangaza matokeo kulikuwa na uchakachuaji hasa katika maeneo nyeti.
"Rais aapishwe, lakini Dk Slaa ana haki ya kuendelea na malalamiko yake. Kama malalamiko hayo yakionekana yana ukweli, maamuzi mengine yafuate."
..............Mhadhiri mwingine chuoni hapo Harod Tairo alisema amestuka kuona matokeo hayo yanaonyesha kuwa watu wengi wamewapigia kura wabunge wa Chadema lakini si mgombea wake wa urais, yaani Dk Willibrod Slaa
"Mimi naamini kwamba wabunge wengi wa Chadema walichaguliwa kwa juhudi za Dk Slaa. Wananchi hawawezi kuchagua mbunge wa Chadema halafu rais wamchague wa CCM. Mimi naona matokeo hayaakisi halihalisi," alisema Tairo.
Hawa wasomi na Wahadhiri naungana nao kwa 100%.