Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Taarifa tulizopata wakati tunaekwenda mitamboni zinasema kuwa, jeshi la polisi limeelekezwa kuwakamata viongozi wakuu wa Chadema kwa kile kinachoelezwa kuwa madai yao ya kutaka kuuawa yanaleta mtafaruku kati ya nchi na nchi wahisani.
Mpango huo ulipangwa kutekelezwa wakati wo wote kuanzia jana jumanne. ( Nimenukuu mwanahalis la Leo Juma tano)
My take;
Kama kusingekuwa na kuhofia mtafaruku na wahisani ina maana wangepuuza madai yao? Au wangeendelea na huo mpango wenyewe uliofichuliwa?
Mpango huo ulipangwa kutekelezwa wakati wo wote kuanzia jana jumanne. ( Nimenukuu mwanahalis la Leo Juma tano)
My take;
Kama kusingekuwa na kuhofia mtafaruku na wahisani ina maana wangepuuza madai yao? Au wangeendelea na huo mpango wenyewe uliofichuliwa?