Lakuchumpa
Member
- Mar 28, 2012
- 73
- 13
Mkuu kama ni kweli basi naomba MOD wabadili heading kwa jinsi watakavyoona inafaa.Sikuljua hilo Pili hata kama hayuko honeymoon, ila kwenye jamii hatumsikii yeye na viongozi wenzie. hapa JF wote wamekimbia hata Tumaini Makene naye kapotea pia. Nadhani hofu hii sio ya wangu peke yangu. tafadhali waje watutoe hofu hii
Dr slaa sio makamba wala nape kubwabwaja kila siku bila kufanya research. We nae ka Anna kilango!