sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
Nawaona kama watu muhimu katika serikali ya Dr Magufuli endapo watapata nafasi kwani wamekuwa wakionyesha uwezo wao katika nyanja mbali mbali za kisiasa. Ni mawazo yangu lakini.
Dr. Slaa katika mambo ya kimataifa anafaa sana.
Sendeka pale bungeni anafaa sana katika kujenga hoja
Lipumba katika mambo ya uchumi pia anafaa.
Mghwira katika mambo ya maendeleo ya jamii akishirikiana na Mama Magreth Sitta watasaidiana kutatua changamoto nyingi za jamii.
Nawasilisha.
Dr. Slaa katika mambo ya kimataifa anafaa sana.
Sendeka pale bungeni anafaa sana katika kujenga hoja
Lipumba katika mambo ya uchumi pia anafaa.
Mghwira katika mambo ya maendeleo ya jamii akishirikiana na Mama Magreth Sitta watasaidiana kutatua changamoto nyingi za jamii.
Nawasilisha.