Dr. Slaa kutikisa Shinyanga kesho.

Dr. Slaa kutikisa Shinyanga kesho.

Status
Not open for further replies.

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,361
Kiongozi wa Upinzani nchini Dr Wilbroad P.Slaa kesho anatarajiwa kuunguruma mkoani Shinyanga.Kiongozi huyo ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CHADEMA atatikisa katika mkutano wa kumnadi mgombea Udiwani wa CDM katika kata ya Mwawaza.
Habari za awali zinasema kuwa baba mzazi wa mgombea udiwani wa CDM anatarajiwa pia kupanda jukwaani kuelezea jinsi alivyohongwa ili amsingizie mwanae ni mwizi katika moja ya mikutano ya CCM.
Kuna shamrashamra kubwa hapa Shinyanga kuashiria ujio wa kiongozi huyo mashuhuri nchini.Mpaka sasa tathmini za awali zinaonyesha CDM ina uwezo wa kushinda kata hiyo kwa idadi kubwa ya kura.
 
akienda kuchapa kazi unasikia mchange almaarufu imakulata josephat kwenye fb anaanza eti DR slaa anasaka posho!
 
big up sana karibu kamanda kwani jamaa wameanza kuchonga sana
 
Kiongozi wa Upinzani nchini Dr Wilbroad P.Slaa kesho anatarajiwa kuunguruma mkoani Shinyanga.Kiongozi huyo ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CHADEMA atatikisa katika mkutano wa kumnadi mgombea Udiwani wa CDM katika kata ya Mwawaza.
Habari za awali zinasema kuwa baba mzazi wa mgombea udiwani wa CDM anatarajiwa pia kupanda jukwaani kuelezea jinsi alivyohongwa ili amsingizie mwanae ni mwizi katika moja ya mikutano ya CCM.
Kuna shamrashamra kubwa hapa Shinyanga kuashiria ujio wa kiongozi huyo mashuhuri nchini.Mpaka sasa tathmini za awali zinaonyesha CDM ina uwezo wa kushinda kata hiyo kwa idadi kubwa ya kura.
Duhhh, amekula dume huyo.
 
Kama Katibu Mkuu wa CDM anawajibu wa kukijenga chama na naamini kwa ushawishi wake kata hiyo itaenda CDM.
 
Huyo baba pambafu asitueleze ujinga wange ,awapelekee wenzake wa mabwepande
 
Kama Katibu Mkuu wa CDM anawajibu wa kukijenga chama na naamini kwa ushawishi wake kata hiyo itaenda CDM.
 
Huyu Dr. Bunduki/ Slaa mwanzoni nilisikia Geita leo tena nasikia Shinyanga, Geita ilikuwaje?. Huyu mzee naye kweli akipanda jukwaani kwa sera kama hii na akapigiwa makopi asifikili kaongea point bali atakuwa anazihakiwa. Hivi kweli hata kama ni ushawishi, utumiwe kumtukana mtoto wako au ni wakusingiziwa?.

Si kila aniitae Baba Baba atauona ufalme wa mbinguni.
 
Hongera Dk.Slaa wewe ndiyo rais wangu, viva chadema zimebakia siku 750 M4C tuingie magogoni
 
Kiongozi wa Upinzani nchini Dr Wilbroad P.Slaa kesho anatarajiwa kuunguruma mkoani Shinyanga.Kiongozi huyo ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CHADEMA atatikisa katika mkutano wa kumnadi mgombea Udiwani wa CDM katika kata ya Mwawaza.
Habari za awali zinasema kuwa baba mzazi wa mgombea udiwani wa CDM anatarajiwa pia kupanda jukwaani kuelezea jinsi alivyohongwa ili amsingizie mwanae ni mwizi katika moja ya mikutano ya CCM.
Kuna shamrashamra kubwa hapa Shinyanga kuashiria ujio wa kiongozi huyo mashuhuri nchini.Mpaka sasa tathmini za awali zinaonyesha CDM ina uwezo wa kushinda kata hiyo kwa idadi kubwa ya kura.
Hakuna ubishi hapo kamanda
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom