DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Yeye ataenda MANYOVU kuwalilia panya,zitto ni fisadi aende gambaniWapika matamko ya kumtetea tapeli wa kisiasa Zitto waendelee kutoa, sasa tumeamua kwenda mwandiga kabisa
Yeye ataenda MANYOVU kuwalilia panya,zitto ni fisadi aende gambaniWapika matamko ya kumtetea tapeli wa kisiasa Zitto waendelee kutoa, sasa tumeamua kwenda mwandiga kabisa
Lukosia njaa yako imepitiliza,hata rambirambi unakula.Mkuu hata wewe unazungumzia rambi rambi? huoni kama unamdhalilisha mheshimiwa Msigwa?
Naona babu atachoka kabla hata ya huo uchaguzi wenyewe 2015 kwa safari, manake badala ya M4C sasa ni safari za kuzunguka nchi nzima kujieleza kwa nini wamemfukuza Zitto na Kitila
Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA mkoa wa Kigoma kinaandaa mapokezi makubwa siku ya Alhamisi tarehe 8.12 wakati Katibu Mkuu wake Dr Wilbroad Slaa atakapowasili kwa ziara ya siku nane.
Katika manispaa ya hapa Kigoma matawi mbalimbali yameanza maandalizi ya kumpokea kiongozi huyo baada ya kupokea taarifa rasmi za ujio wa kiongozi huyo.
Viongozi kadhaa wa matawi wakizungumza wamesema wanataka kumpokea Dr Slaa kwa maandamano makubwa kama ishara ya imani ya wanachama wa Chadema Kigoma kwa uongozi wa chama chao.
Pia wamesema lengo lingine la maandamano hayo ni kuonyesha kwamba wanaheshimu maamuzi ya Kamati Kuu na kwamba wanaKigoma wanakipenda chama na siyo watu binafsi.
Dr Slaa anaanza ziara ya siku 8 mkoani Kigoma kuanzia tarehe 5.12 hadi tarehe 13.12 ambapo anatarajiwa kutembelea majimbo yote.
Babu wa CUF atagombea?CHADEMA mtamuua huyu babu, sawa anataka ziara ili apate Posho lakini hii ya kumtembeza nchi nzima mnamuonea.
vp uko segerea ya uk? inalipa?Vipi umeishapata mwanasheria wa kukutetea au tukusaidie mchango?
Mzee Gustaulo ambae ni baba yako mzazi halisi anazidi kusikitika kwa ukaidi unaomfanyia, laana yake iwe juu yako
Molemomkuu kuna tetesi Vibaraka wa Zitto vikisimamiwa na mchange vinaandaa vijana ili kuchafuwa shuhuli zitakazo fanywa na Dr Slaa.
We mzee yaani hujapeleka rambi rambi mpaka leo?Kwa nini mnapenda kutumia misiba ya watu kama mtaji wa kisiasa?
KARIBU... haya leta hoja za kipepo pepo!...Vigezo gani umetumia maana watu wa Kigoma ni ndoto kumpokea Dr. Slaa watakuwa wamejitukana maana Dr.Slaa na kundi lake la wala ruzuku za CDM ni maadui wa wananchi wa Kigoma na ndio maana hata vijana wao waliowatuma kuja kuwachunguza wana Kigoma na kujenga hoja za kuhalalisha maamuzi ya kamati kuu kumvua madaraka Mheshimiwa Zitto wanazomewa kila eneo waendalo na ndio maana hawadhubutu kwenda Ujiji.
Umeolewa?Kwani babu ni tusi? mbona amimi nina wajukuu kibao tu kama wewe na wananiita babu?
Tatizo Dr anasahau masharti ya daktari kjuwa anahitaji kupumzika ili kumaintain afya
Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA mkoa wa Kigoma kinaandaa mapokezi makubwa siku ya Alhamisi tarehe 8.12 wakati Katibu Mkuu wake Dr Wilbroad Slaa atakapowasili kwa ziara ya siku nane.
Katika manispaa ya hapa Kigoma matawi mbalimbali yameanza maandalizi ya kumpokea kiongozi huyo baada ya kupokea taarifa rasmi za ujio wa kiongozi huyo.
Viongozi kadhaa wa matawi wakizungumza wamesema wanataka kumpokea Dr Slaa kwa maandamano makubwa kama ishara ya imani ya wanachama wa Chadema Kigoma kwa uongozi wa chama chao.
Pia wamesema lengo lingine la maandamano hayo ni kuonyesha kwamba wanaheshimu maamuzi ya Kamati Kuu na kwamba wanaKigoma wanakipenda chama na siyo watu binafsi.
Dr Slaa anaanza ziara ya siku 8 mkoani Kigoma kuanzia tarehe 5.12 hadi tarehe 13.12 ambapo anatarajiwa kutembelea majimbo yote.
acha njaa mdogo wangu unatumika zaidi ya pumpers kwanini Yeriko...Wapika matamko ya kumtetea tapeli wa kisiasa Zitto waendelee kutoa, sasa tumeamua kwenda mwandiga kabisa
nimemwambia dr slaa akiwa anatowa hotuba awe makini na Yule jamaa anarushaga kifuko cheusipatazuka kivumbi...ngoja CCM watengeneze mamluki wao