mambomengi
JF-Expert Member
- May 16, 2009
- 829
- 242
Slaa kwanza ni Mdini aliepitiliza, Pili amevuta kiasi kikubwa sana kutoka CCM na hili linathibitishwa na Josephine kuwa wamepata mtaji wa kuanzisha mahospitali na shule kibao ... Haihitaji akili ya ziada kujua kuwa Slaa alikuwa analindwa na system ya CCM ... TV zote zililipiwa na CCM .. akina Mwakyembe walikuwa wanampa sapoti tu .. Mzee sasa hivi ana mkwanja wa kutosha ..
Hii kitu, kama rushwa kwa slaha na mpenzi wake, inafanya Tanzania isiendelee! Ni lini viongozi wetu wata simama na kusema pesa hapana! Kama unakemea ufisadi na kisha kununulika kirahisi hata kwa bei gani na wewe ni fisadi tena fisadi nguli! Tutawaweka wote kwenye historia ili vizazi vyao viwatambue baadae.