Kwako Dr,
Nchii hii bado inakuhitaji sana. Ni dhahiri hao Chagadema hawakuhitaji tena; Zezeta lenye pesa zake limeshanunua sio tu chagadema bali ukawa yote; nacheka kila siku nikikiona hicho ki salum mwalimu kikijifanya kuvaa viatu vyako: Hakina uzoefu wowote wa kuratibu siasa hasa za kipindi cha uchaguzi; hakina elimu na upeo wa kutosha; hakika kitavuruga uchaguzi huu kila kona, na Chagadema kama chama hakitapata wabunge wengi kama kinavyodhani. ni kijibaraka cha Mbowe; Na hakimjui born town Freeman vizuri mzee wa Mega deals, na baada tu ya uchaguzi mkuu; kitasahaulika kabisa kabisa kisiasa. Bora Mnyika alivyoamua kukaa kimya:
Karibu ACT Dr, tangaza mali zako; njoo tukijenge chama kwa ajili ya upinzani wa ukweli baada ya october 2015.
Tena mstue na Professor Lipumba mje wote( wazee wa Ukawa asili).
Wasalaaam;
Mkonozi
poleni sana mazuzu ya lumumba
Akina Mnyika wameamua kuonesha misimamo yao hata kwa kukaa kimya inatosha ..mbowe kala bingo
Hivi act ndio mdudu gani kwenye siasa za Tanzania?
Pole wewe mcheza disco la mbowe; sisi tunamhitaji daktari wa siasa nchini Tanzania; sio hilo zezeta lililonunua chama.
Unamtamani eee!! yule ni cdm dam na wala hawez kuwa msaliti kama yuda,ZITTO.
Baada ya uchaguzi mwaka huu, sisiemu kama wakishinda, ACT ndio kitakuwa chama kikuu cha upinzani, mark my words!
Hana budi maana kule kumeingiliwa na kirusi
Kwako Dr,
Nchii hii bado inakuhitaji sana. Ni dhahiri hao Chagadema hawakuhitaji tena; Zezeta lenye pesa zake limeshanunua sio tu chagadema bali ukawa yote; nacheka kila siku nikikiona hicho ki salum mwalimu kikijifanya kuvaa viatu vyako: Hakina uzoefu wowote wa kuratibu siasa hasa za kipindi cha uchaguzi; hakina elimu na upeo wa kutosha; hakika kitavuruga uchaguzi huu kila kona, na Chagadema kama chama hakitapata wabunge wengi kama kinavyodhani. ni kijibaraka cha Mbowe; Na hakimjui born town Freeman vizuri mzee wa Mega deals, na baada tu ya uchaguzi mkuu; kitasahaulika kabisa kabisa kisiasa. Bora Mnyika alivyoamua kukaa kimya:
Karibu ACT Dr, tangaza mali zako; njoo tukijenge chama kwa ajili ya upinzani wa ukweli baada ya october 2015.
Tena mstue na Professor Lipumba mje wote( wazee wa Ukawa asili).
Wasalaaam;
Mkonozi
mapanya buku ya lumumba yanajinyea nyea