Lipi ambalo limekuwa jipya na geni alilolisema Dr. ambalo halikufahamika kama si ndani hadi nje ya nchi?
Sana sana ni Lowasa kujiunga na waendesha boda boda badala ya wakubwa wazuri wa ccm. Is this an offence? Sheria gani inamhukumu Lowasa kwa kujiunga na CHADEMA bila wakuu wa nini kule sijui? Acha utani jamaa wewe.
Dr. Slaa akitamka kitu ndicho leo unakiona kuwa ni tamko la Mungu?
Aliposema orodha ya mafisadi mbona hamkuwafikisha mahakamani kwa hukumu kwa kuwa Dr. Slaa alisema?
Alipotetea umma mbona mlimvunja mkono na kumpa ulemavu wa kudumu kama mnamwamini ki hivyo?
Tanzania ni ya Watanzania na si ya ccm.
Kwa taarifa yako hotuba ya Dr. Slaa imewafanya watu waelewe kwamba ana hasira zake binafsi na si za nchi kwa kuwa tu viongozi wake waliamua kumpa ugombea Lowasa badala ya yeye. Hilo ni kosa gani kwa shiria ipi number ngapi ya mwaka gani chini ya katiba ipi?
Kama ccm mlijua lowasa ni mchafu kwa kuw aDr Slaa alisema, pia aliwasema kinakikwete n.k kwanini hamjawafungulia mafaili ya uchunguzi muwafikishe mahakamani ili wahukumiwe? Kwa mujibu wa katiba ya nchi ni nani kati ya Dr. Slaa, Wewe, Ccm na Mahakama wenye mamlaka ya kisheria ya kumtia mtu hatiani? Kwa nini mnashindwa kuwafikisha kwenye mahakama ili watiwe hatiani kwa mjibu wa sheria?
Hao unaosema wamesikia ni majuha wa wapi hao ambao watashindwa kuchambua suala lililodhahiri namna hii? Bila shaka watakuwa julmuiya na vichaa.
Kama Slaa alijua lowasa ni mchafu, na kwamba ni mgonjwa wa akili aliwezaje kumtongoza ahamie chadema? Kumbuka kwamba Slaa ndiye alilyeanzisha mchakato huu na yeye amekubali. Halfu leo aone Lowasa hafai kwa lolote na sisi tumuamini katika hil.
Na kwa hiyo unakubaliana na kila alichosema dr. Slaa, hata KWAMBA CCM NI CHOO NA LOWASA NI KINYESI KILICHOOPOLEWA KUTOKA CHOONI NA KULETWA SEBULENI.
KWA AKILI YAKO WEWE, UNAKUBALIANA NA HILI KWAMBA CCM NI CHOO CHA KILICHOJAA NA KAZI YAKE NI KUTUNZIA MAVI?
Kwa hiyo kuna mtu timamu anayweza kudiriki kusema ni afadhali akakae ndani ya shimo la choo linalonyewa mavi na kuyatunza akiogopa jivi moja lililoko sebuleni?
Hizo akili ni za ccm peke yake .
WATANZANIA NDIO WENYE NCHI, TUNAMPIGIA KURA LOWASA CHINI YA UKAWA NA KAMWE HATUTAKUBALI KULAZIMISHWA KUINGIA KWENYE SHIMTUO LA CHOO LINALOTUNZA MAVI KWA MASLAHI YA FUNZA WA CHOONI. HLO SAHAU.
IT IS OVER!. Tumechoka na hila za ccm na sasa tunakwenda kulizika rasmi 25 October.