Slaa kanunuliwa over. Kura lowasa.
Amenunuliwa Slaa acheni propaganda za uwongo.madudu yoote haya katika nchi hii yeye kawaita waandishi kwa ajili ya richmond kweli ? Tanzania itabaki kuwa masikini sana kama wasomi wetu ndio hao na hoja za kitoto kabisa hazina hata mashiko.
Atawahi kuwa Nyerere..... Yule ni shida tu kanisani, ndoa yake kwenye Siasa kote amesuasua.
Hayo madudu yotee mbona simsikiii edo akiyaongelea,au yeye issue ya escrow yeye haijui?
yeye mwenyewe mpigaji..ataongelea escrow?