Dr. Slaa hajaacha siasa, ashughulikiwe kisiasa

Dr. Slaa hajaacha siasa, ashughulikiwe kisiasa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,707
Reaction score
272,607
Wakuu natanguliza salamu,

Baada ya salamu nijikite moja kwa moja kwenye hoja yangu, Mwanachama wa CCM aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Slaa ameletwa maalum kuja kutumikia chama chake, hakuacha siasa kama alivyodanganya umma Serena Hotel alipopitishwa mlango wa uani na watu wasiojulikana ili kuvuruga UKAWA.

Ni muongo, nimemsikiliza akizungumzia Shambulio la Lissu katika lugha ya kinafiki ambayo sisi wengine tulijiuliza kama kweli mtu huyu aliwahi kuwa Askofu wa kanisa lolote.

Kwa wale wengi mliomheshimu huyu mzee kama mimi nilivyomheshimu, wakati wa kusitisha heshima ile umefika, kwa vile kishaamua kurejea kwenye siasa za Chama Cha Mapinduzi basi achambuliwe kisiasa, kama wanavyochambuliwa akina Polepole, Lusinde, Juliana Shonza nk.

Naomba kuwasilisha.
 
Ni lini Dr. SLAA alisema ameacha siasa?? Kiswahili ni kigumu au uwezo wa kung'amua mambo ndio mgumu?? Kipi kati ya hivi ni kikwazo kwako ewe malafyale??
Fuatilia hotuba yake pale Serena hotel
 
Wakuu natanguliza salamu

Baada ya salamu nijikite moja kwa moja kwenye hoja yangu , Mwanachama wa ccm aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chadema Dr Slaa ameletwa maalum kuja kutumikia chama chake , hakuacha siasa kama alivyodanganya umma Serena Hotel alipopitishwa mlango wa uani na watu wasiojulikana ili kuvuruga UKAWA.

Ni muongo , nimemsikiliza akizungumzia Shambulio la Lissu katika Lugha ya kinafiki ambayo sisi wengine tulijiuliza kama kweli mtu huyu aliwahi kuwa Askofu wa kanisa lolote .

Kwa wale wengi mliomheshimu huyu mzee kama mimi nilivyomheshimu , wakati wa kusitisha heshima ile umefika , kwa vile kishaamua kurejea kwenye siasa za chama cha Mapinduzi basi achambuliwe kisiasa , kama wanavyochambuliwa akina Polepole , Lusinde , Juliana Shonza nk.

Naomba kuwasilisha .

Dr.Slaa amekana kusema ameacha 'Siasa'bali ameacha SIASA za upinzani period.Pole.Ukishapata bei yako basi hata akili inafuata mkondo
 
Fuatilia hotuba yake pale Serena hotel
Kwani ni mwanachama wa chama gani Dr.Slaa?? Nakumbuka alisema anaachana na siasa za vyama/ siasa za upinzani, maana yake kama mdau ataendelea kuwepo ktk siasa.
 
Baada ya kuacha siasa za vyama atafanya siasa za nini , kwani siasa ni nini ?
Sasa tukianza kuulizana siasa ni nini, maana yake msingi wa uzi wako pia huujui, umeweka tu uzi hapa ili mradi.
Anyway, atatoa mawazo yake kama mdau.
 
Wakuu natanguliza salamu

Baada ya salamu nijikite moja kwa moja kwenye hoja yangu , Mwanachama wa ccm aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chadema Dr Slaa ameletwa maalum kuja kutumikia chama chake , hakuacha siasa kama alivyodanganya umma Serena Hotel alipopitishwa mlango wa uani na watu wasiojulikana ili kuvuruga UKAWA.

Ni muongo , nimemsikiliza akizungumzia Shambulio la Lissu katika Lugha ya kinafiki ambayo sisi wengine tulijiuliza kama kweli mtu huyu aliwahi kuwa Askofu wa kanisa lolote .

Kwa wale wengi mliomheshimu huyu mzee kama mimi nilivyomheshimu , wakati wa kusitisha heshima ile umefika , kwa vile kishaamua kurejea kwenye siasa za chama cha Mapinduzi basi achambuliwe kisiasa , kama wanavyochambuliwa akina Polepole , Lusinde , Juliana Shonza nk.

Naomba kuwasilisha .
Kwanza wacha chuki,
Pili siasa hazikupi pumzi ambayo itakusaidia kuishi.
Naongezea kukumbusha kumuheshimu au kutomuheshimu yeyote ni maamuzi ya mtu binafsi wala sio tangazo la kutaka kuungwa mkono.
Namaliza kwa kusema vita yako ni yako, jipange mshambulie wewe mwenyewe.
 
Wakuu natanguliza salamu

Baada ya salamu nijikite moja kwa moja kwenye hoja yangu , Mwanachama wa ccm aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chadema Dr Slaa ameletwa maalum kuja kutumikia chama chake , hakuacha siasa kama alivyodanganya umma Serena Hotel alipopitishwa mlango wa uani na watu wasiojulikana ili kuvuruga UKAWA.

Ni muongo , nimemsikiliza akizungumzia Shambulio la Lissu katika Lugha ya kinafiki ambayo sisi wengine tulijiuliza kama kweli mtu huyu aliwahi kuwa Askofu wa kanisa lolote .

Kwa wale wengi mliomheshimu huyu mzee kama mimi nilivyomheshimu , wakati wa kusitisha heshima ile umefika , kwa vile kishaamua kurejea kwenye siasa za chama cha Mapinduzi basi achambuliwe kisiasa , kama wanavyochambuliwa akina Polepole , Lusinde , Juliana Shonza nk.

Naomba kuwasilisha .

Bilionea wa propaganda unachekesha sana
 
uwepo wa dr slaa hapa bongo unawauma sana chadema maana wanajua fika atafichua madudu waliyofanya ktk kuuza chama kwa fisadi.
Ndio maana kuna vi thread vingi tena mfululizo mara vinahoji slaa ataapishwa ln, slaa apuuzwe, slaa hana effect, slaa hajaacha siasa nk

Dr slaa kama unasoma uzi huu tupo watu kibao tunaokukubali na kukufuatilia, tafadhali endelea kufanya mahojiano na vituo vingi vya radio na tv tupate kujua mengi zaidi - tujuze zaidi juu ya siasa za kisayansi ambazo siku zote umesema hazitaki uwongo uwongo, ulaghai na usanii!!!.
 
Back
Top Bottom