Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,707
- 272,607
Wakuu natanguliza salamu,
Baada ya salamu nijikite moja kwa moja kwenye hoja yangu, Mwanachama wa CCM aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Slaa ameletwa maalum kuja kutumikia chama chake, hakuacha siasa kama alivyodanganya umma Serena Hotel alipopitishwa mlango wa uani na watu wasiojulikana ili kuvuruga UKAWA.
Ni muongo, nimemsikiliza akizungumzia Shambulio la Lissu katika lugha ya kinafiki ambayo sisi wengine tulijiuliza kama kweli mtu huyu aliwahi kuwa Askofu wa kanisa lolote.
Kwa wale wengi mliomheshimu huyu mzee kama mimi nilivyomheshimu, wakati wa kusitisha heshima ile umefika, kwa vile kishaamua kurejea kwenye siasa za Chama Cha Mapinduzi basi achambuliwe kisiasa, kama wanavyochambuliwa akina Polepole, Lusinde, Juliana Shonza nk.
Naomba kuwasilisha.
Baada ya salamu nijikite moja kwa moja kwenye hoja yangu, Mwanachama wa CCM aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Slaa ameletwa maalum kuja kutumikia chama chake, hakuacha siasa kama alivyodanganya umma Serena Hotel alipopitishwa mlango wa uani na watu wasiojulikana ili kuvuruga UKAWA.
Ni muongo, nimemsikiliza akizungumzia Shambulio la Lissu katika lugha ya kinafiki ambayo sisi wengine tulijiuliza kama kweli mtu huyu aliwahi kuwa Askofu wa kanisa lolote.
Kwa wale wengi mliomheshimu huyu mzee kama mimi nilivyomheshimu, wakati wa kusitisha heshima ile umefika, kwa vile kishaamua kurejea kwenye siasa za Chama Cha Mapinduzi basi achambuliwe kisiasa, kama wanavyochambuliwa akina Polepole, Lusinde, Juliana Shonza nk.
Naomba kuwasilisha.