Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,665
- Thread starter
-
- #61
Mkuu hebu fafanua kidogo amevunja rekodi ya usimamizi wa fedha za CHADEMA au CCBRT? maana hapo kwenye red na blue panachanganya kidogo
Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.
na rekodi nyingine babu aliyoivunja mi kuwa mzee wa kwanza kuwa na mchumba wa uzeeni ambaye ni mke wa mtu.
Waraka wa ushindi unasema. "Matumizi ya fedha ya chadema wanajua wahusika watatu tu,Mtendaji mkuu ,Msaidizi wake na Mtunza fedha!!
Ni wa kuiga kabisa , hasa kwa kuiba wake za watu, kuzaa uzeeni, kutelekeza mke wa ndoa, kutelekeza watoto, kupinga ufisadi wakati ukijikopesha vyama, mi nasema aigwe tu.
Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.
Ni wa kuiga kabisa , hasa kwa kuiba wake za watu, kuzaa uzeeni, kutelekeza mke wa ndoa, kutelekeza watoto, kupinga ufisadi wakati ukijikopesha vyama, mi nasema aigwe tu.
Zitto sio saizi yako yeriko. Wewe unadhani zitto siasa kavamia kama wahafidhina na mabosi wako. Siasa ni professional yake. Mlidhani mnamuathiri zitto!!! La hasha kibarua,zitto ataendelea kuwatesa mpaka dude liitwalo chadema litabaki ni chuma chakavu. Nadhani mmeanza kwa uchache kuona move. Kuna viongozi wengine hapo hapo makao makuu stay tuned very soon watajing'atua kwenye makucha ya wazandiki wa demokrasia. Hiyo bado ni trela.
Zitto kwa ufinyu wako usidhani eti hata huo uamuzi unamuathiri kwa ufupi mno jua kuwa zitto ni mwenyekiti wa PAC hicho cheo hakupewa na boss wako mbowe.
MKUU Nimeipenda sana hiyo ZITTO PESA .HILO nipigo kwa magamba na mawakala wao wote kama ZITTO PESA
Mkuu hivi hakuna award kwa Makatibu wakuu wauaji wa Tembo Africa ???
Je kama ingekuwepo, Nani angeibuka Kidedea ???
Hahahahahahahhahahahahahahhahahaa
Mzee wa kujikopesha...