Dr Slaa atoa salamu za Mwaka mpya...

Dr Slaa atoa salamu za Mwaka mpya...

WILBROAD kampora BWANA MUSHUMBUSI, na GWAJIMA kampora MBASHA!

Wafuska wamekutana!
 
safi sana rais wa mioyo ya watanzania; bravo kiongozi makini wetu
 
Umesahau kuwa hata wewe ni tunda la zinaa? Kwani baba yako halisi unamjua?

Huwezi kilificha jua hata siku moja, mume wa Josephine zile hela alizopewa 2010 zimeisha ile scandal anaiibua tena kampeni zikianza au apewe hela zingine.
 
Huyu mtu ni muhimu sana watanzania tumsaport kwa kua anamawazo na moyo wa kutuôgoza,.uwezo wake na umakini wake.Heshima kwako dr slaa

Watanzania wameamua kuungana bila Itikadi kumuunga mkono Dr Slaa
 
WILBROAD kampora BWANA MUSHUMBUSI, na GWAJIMA kampora MBASHA!

Wafuska wamekutana!
"Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people." – (Eleanor Roosevelt).
 
Thanks for sharing Mkuu.
 
huyu ndo chaguo la watanzania raisi wetu mtarajiwa DR Slaa tumepokea salamu zake kwa roho safi tunamwombea kila heri katika safari ya kujiandaa kuingia ikulu.
 
Haoni aibu madhambi yote haya aliyonayo hata kuongea mbele za watu.

Swali kwako, je wewe huna dhambi? Ondoa kwanza boriti ndani ya jicho lako ndio umnyooshee mwenzio kidole...na ulaaniwe wewe pamoja na vizazi vyako vyote...
 
Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa amelaani ubadhirifu na wizi wa mali ya umma unaoendelea serikalini.

Akihutubia waumini wapatao 70,000 katika mkesha wa mwaka mpya kwenye viwanja vya Kanisa la Ufufuo na Uzima vilivyopo Kawe, kiongozi huyo amesema maovu mbalimbali yanayotokea ni kwa sababu ya watu kumsahau Mwenyezi Mungu na kumgeukia Shetani.

Dr Slaa amesema ni aibu kubwa kwa Taifa kukumbwa na kashfa mbalimbali zikiwemo wizi wa Fedha za Escrow,Meremeta,Epa nk.

Kiongozi huyo mwenye ushawishi mkubwa nchini alialikwa na Kiongozi wa Kanisa hilo Mchungaji Josephat Gwajima kuwa mgeni Rasmi katika mkesha huo wa mwaka mpya.

Katibu Mkuu huyo pia alitumia nafasi hiyo kuwatakia Watanzania heri na baraka tele katika mwaka huu mpya wa 2015 wenye changamoto mbalimbali.

Hotuba ya Dr Slaa anayetarajiwa na wengi kuwa Rais wa Awamu ya Tano iliwapa hisia kali maelfu ya waumini hao na kukuta wakimshangilia kupita kiasi kila baada ya maneno machache.

hivi wewe ndio katibu wa nyumbani wa dk slaa
 
Mungu anaona na atawezesha muda utakapotimia tena bila kucheleweshwa hata sekunde moja na mikono ya wanadamu wanaopinga.
 
Swali kwako, je wewe huna dhambi? Ondoa kwanza boriti ndani ya jicho lako ndio umnyooshee mwenzio kidole...na ulaaniwe wewe pamoja na vizazi vyako vyote...

Laana uliyompa inamstahili kabisa.
 
Back
Top Bottom