Dr Slaa atoa salamu za Mwaka mpya...

Dr Slaa atoa salamu za Mwaka mpya...

Na Salamu alizotoa Dr Bilali uwanja wa Taifa nazo ni za Wakristo tu?

Kwa nini padri slaa atoe salam kanisani huu ni udini wa hali ya juu sana.bilali ni muislam kwenda kanisani ameonyesha uungwana
 
Kwa nini padri slaa atoe salam kanisani huu ni udini wa hali ya juu sana.bilali ni muislam kwenda kanisani ameonyesha uungwana

Unaonyesha wazi wewe ni mtu mpuuzi tu.Baada ya kugundua wewe ni mpuuzi kwa ulichoandika usitarajie nikujibu tena!
 
Huyu mtu ni muhimu sana watanzania tumsaport kwa kua anamawazo na moyo wa kutuôgoza,.uwezo wake na umakini wake.Heshima kwako dr slaa
 
Hapo Slaa mzinzi na mchungaji mzinzi hapo wame mechi.
 
Mi nadhan siku ya idd waislam wakimkaribisha atatoa salam kwa watz tena
 
Hapo Slaa mzinzi na mchungaji mzinzi hapo wame mechi.

Wewe mbona unapumuliwa kisogoni hatusemi? kwasabu tunajua wewe ndie unaeumia,toa kibanzi jichoni kwako kwanza ndio useme yawengine
 
Wewe mbona unapumuliwa kisogoni hatusemi? kwasabu tunajua wewe ndie unaeumia,toa kibanzi jichoni kwako kwanza ndio useme yawengine

Gwanjima hajavunja ndoa ya mtu? Slaa hajavunja ndoa ya mtu? Sasa unachotetea nini?
 
Gwanjima hajavunja ndoa ya mtu? Slaa hajavunja ndoa ya mtu? Sasa unachotetea nini?

Hayo mambo binafsi hayatuhusu kama taifa nakama ingekuwa hivyo tungeanza kwa prof wa kichina kwa sbb ndie Rais mzinzi aliyewahi kutokea A.Mashariki na Kati mpaka kubambikia watu kesi nakuwafunga kisa uzinzi,lakini pia sijaona uthibitisho wako dhidi ya Rais wetu wa mioyo Dr Slaa.Au kama wewe ndie uliyeibiwa mke jitokeze tukuone mana hiyo film ilishakosa uthibitisho
 
Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa amelaani ubadhirifu na wizi wa mali ya umma unaoendelea serikalini.

Akihutubia waumini wapatao 70,000 katika mkesha wa mwaka mpya kwenye viwanja vya Kanisa la Ufufuo na Uzima vilivyopo Kawe, kiongozi huyo amesema maovu mbalimbali yanayotokea ni kwa sababu ya watu kumsahau Mwenyezi Mungu na kumgeukia Shetani.

Dr Slaa amesema ni aibu kubwa kwa Taifa kukumbwa na kashfa mbalimbali zikiwemo wizi wa Fedha za Escrow,Meremeta,Epa nk.

Kiongozi huyo mwenye ushawishi mkubwa nchini alialikwa na Kiongozi wa Kanisa hilo Mchungaji Josephat Gwajima kuwa mgeni Rasmi katika mkesha huo wa mwaka mpya.

Katibu Mkuu huyo pia alitumia nafasi hiyo kuwatakia Watanzania heri na baraka tele katika mwaka huu mpya wa 2015 wenye changamoto mbalimbali.

Hotuba ya Dr Slaa anayetarajiwa na wengi kuwa Rais wa Awamu ya Tano iliwapa hisia kali maelfu ya waumini hao na kukuta wakimshangilia kupita kiasi kila baada ya maneno machache.

Audio vipi?
 
mkuu hawa wachumia tumbo tulitegemea watakuja na vioja...tusi wa quote wala kuwajibu nikutafuta ban na kuwapaisha tuwapotezee

Kwa hiyo Makamu wa Rais Dr Bilali aliyeshiriki mkesha wa Wakristo uwanja wa Taifa naye ni mdini sana?
 
Back
Top Bottom