Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini


You're an unredeemably a terrible person.

You're done,retard!
 
Huyu molemo ni muongo tena ni muongo kweli hakuna msafara wowote uliopita kigoma mjini hivi uongo huo uwongo unakisaidia nini chama kwanza hakuna barabara yoyote inayotoka wilaya yoyote ianaingilia kigoma mjini, mods futa hii thread

Leta habari sahihi.Otherwise,nyamaza kabisa.
 
siku hizi mtu akizomewa na kufurumushiwa mawe anakuwa katikisa safi sana.
 
M4C we have God we have Power! Dr. Slaa hazuiliki kabisaaa! Kigoma iko Shwari vibaraka wamenywea!
 
Vipi mipango ya kumdhuru Alex Kitumo imefikia wapi?

Mnajitekenya na kucheka wenyewe. Poleni sana.

Eleza mlivyopanga kujidhuru wakati mnatekeleza mission yenu.Wewe upo Dar unawasiliana nae na kupanga mipango ya kitoto.Hata wewe binafsi unajua unafiki wako unavyokumaliza.

Ni pigo beyond recovery!
 

Ahsante kwa updates makamanda, picha muhimu kuweka pia. Naona 6gates atakuwa amepanda ungo kuja huko kwa kazi maalum aliyopewa Lumumba maana jana alikuwa Dar, kwenye kongamano la bavicha
 
Kongo ndasu we ndio unasikitika mipango yenu kutofanikiwa,vvvaaaa Chadema.
 
Huyu molemo ni muongo tena ni muongo kweli hakuna msafara wowote uliopita kigoma mjini hivi uongo huo uwongo unakisaidia nini chama kwanza hakuna barabara yoyote inayotoka wilaya yoyote ianaingilia kigoma mjini, mods futa hii thread

Mkigoma Umeumbuka unabishana hadi na TV asubuhi pia walionesha Dr. Slaa akichezewa ngoma ndani ya Kigoma nayo unabisha, Jana Dr. Slaa akaingia kwa msafara mkubwa wa kihistoria ndani ya Kigoma mjini, nayo ukabisha, leo yuko ndani ya Kigoma Kaskazini bado unabisha tu, aibu imewakumba, waacheni Chadema wafanye maamuzi kuhusu chama chao msijifanye kiherehere kuingilia nyie CCM mmeshindwa, mlisema waliochagulia kwa rushwa mtawaondoa Mangula kakaa kimya hadi leo! Mlisema mtawavua gamba akina Nape na wenzao wamenywea wamekaa kimya hadi leo! CCM acheni unafiki Nchi imewashinda kuongoza mnahangaika na Dr. Slaa na Chadema! mkigoma uwe na aibu! 2014/2015 watanzania tunaisubiri kwa hamu tutoe hukumu yetu!
 
Last edited by a moderator:
Kama amepata shida sana si ndio ingekua furaha yenu? Kuna sababu gani ya kutoa ushauri ambao utazima furaha yako na wenzio?
Maneno makubwa hayo, wenye busara tu ndo wanasoma na kuelewa. Hawa hawaelewagi MaCCM. Kazi kwelikweli Ben!
 
Unataka kumfananisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete na kijidokta cha kanoni kilichoshindwa kuongoza kondoo na badala yake kudandia wake za watu? Unanchekesha!
jk ni rais anayelindwa na majini!
 
mtu aliyeharibu mpaka kanisani kweli unathubutu kumwitta anahekima kama kweli kashindwa kufanya kazi kanisani hadi kafukuzwa hekima zake ziko wapi mkuu kwa nini usiwe mkweli tujifunze kuujua ukweli na kuukubari pia.

Mkuu weka picha basi,

maana si unajua maneno matupu hayajengi ghorofa?
 
Huyu molemo ni muongo tena ni muongo kweli hakuna msafara wowote uliopita kigoma mjini hivi uongo huo uwongo unakisaidia nini chama kwanza hakuna barabara yoyote inayotoka wilaya yoyote ianaingilia kigoma mjini, mods futa hii thread

Pole sana mkuu.Polepole mtatuelewa tu.
 
Si bora yeye kuliko yule aliyejaladia hadi ulinzi wa majini kwenye kampeni za urais 2010? Nimekumbuka jinsi Kiongozi wa Brigedia ya ulinzi wa Majini alivyotishia hadi wagombea urais wengine kuwa atakayempinga JK atakufa ghafla......

Hapo kwa red:Halafu akafa mwenyewe!!

Anyway- all in all, TAIFA KWANZA, vyama baadae!
 
hate in your heart will consume you too,sio kosa la wachaga kuwa mkoa na kabila lako mko nyuma kielimu na maendeleo
 
Eleza mlivyopanga kujidhuru wakati mnatekeleza mission yenu.Wewe upo Dar unawasiliana nae na kupanga mipango ya kitoto.Hata wewe binafsi unajua unafiki wako unavyokumaliza.

Ni pigo beyond recovery!

Ben Clever ni hatari wakuu, Maana Jamaa kawa threat sana kwa pro-MM na Lumumba project.
 

hakina wote tuseme 'CHADEMA ni mkombozi wa wanymge!'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…