Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Slaa aliambiwa na Wanakigoma, kuwa hali haijatulia, asiende, akataka kushindana Ubavu na Zitto kwa kumuonesha kwamba yeye yuko Juu, sasa ona anaibika anahutubia upepo!. HUYU MZEE HAAMBILIKI, HAFAI HATA KIDOGO!


Hao watu kiduchu bora angewatumia ujumbe kwa SMS kuliko kufunga safari ndefu kuongea na watu wawili na robo...
 
Mungu anasema mkusanyikapo watu nami nitakuwepo.haijalishi wangapi wamefika ila hata wewe kusikia kilichoendelea, tunasema umefana.kufuatiloa kwa ccyenu kunatuonesha kuwa dr slaa ni muhimu xana.
 
Slaa alisema nchi hii haitatawalika tena, lakini sasa anachekelea ulinzi wa FFU kwa hisani ya serikali ya CCM.


Acha upotoshaji mjinga wee.......polisi wapo kwa ajili ya raia na mali zao ni hali ya kisiasa ndiyo inayumbisha na wao kujikuta wanaitumikia viongozi wao hawa mafisadi bila kujijua.

Na wote tupo chini ya sheria mjinga wee!
 
Daa slaa uwashukura police ccm ndio wamekuokoa sasa sijui watakua police cdm aaaahaaaa

Mlisema asikanyage Kigoma,hiyo aliyofika na kuizungukia kwa takribani siku nne ni wapu?Burundi au,na hata hivyo hamjui kwamba hamjui,hapo ndo tunachukua ushahidi wa kumfukuzilia kwa mbali huyo ZZK,na inavyoonekana yy ndo ana- think short,kama CCM wanamuona anafaaa,kuna haja gani kula njama za kuvuruga mikutano ya Dr Slaa,hizo fedha mnazo-invest ni bora mngemlipa per day Zitto ili azunguke nchi nzima na mmnadi kuwa sasa ni mwanachama wa CCM,na mmpe uenyekiti wa taifa.
 

IT DEPARTMENT yenu nambiwa ipo busy kuliko vipindi vyote ku-edit picha za zamani na ku-launch, ndo maana wanahakikisha mpaka sehemu ya DATE TAKEN wanabadili ili kuhakikisha uongo wa zamani hauonekani
 
Hako kadogo ka mzoga wetu, sidhani kama jana kalienda hata choo au kula maana kaliza kweli au ndio mtumishi mwema kazini.....mkuu Mungi mwambieni huyo dogo waliwahi kuwepo akina Chama siku hizi aweza kaa hata wiki asionekane humu

mkuu huyo binti Msoga yetu ana bidii sana huwa hatoki. Ila mchana leo tulimmiss labda alienda kubadilisha always ultra
 
Mpiga picha ni mwongo wa mchana..ukiangalia picha ya pili hapo juu yenye kamba, watu ni wengi sana,ila aliepiga picha kakata robo tatu ya watu..angalia mwisho wa kamba haionekan kushoto,ardhi haionekan,badala yake inaonesha watu wamekatwa....usitudanganye ndg.
Pili, mlileta habar hapa jion kuwa docta katimuliwa kwa mawe,et kashindwa kufanya mktn,sasa kama alikimbia,iweje tena aonekane yupo kwenye mktn? Mbn watu wametulia pamoja na mvua zilizokuwa zikinyesha??? Sisi si watoto mkawadanganye maccm.....
 
Picha zimepigwa kimtego,yaani mpigaji amejidanganya kwa kupiga kiupande upande ili tu kutimiza adhma yake...Bado Dr.Slaa ni mtu jasiri sana,mwanasiasa imara asiyeterereka!!!Hongera Sanaaaaa!!!
 
Slaa analindwa na askari saba ili afanye siasa kwa usalama, lakini analalamika na kusema kuwa mfumo wa siasa Tanzania ni sawa na ule wa ubaguzi wa rangi wa Afrika Kusini. Halafu anajifananisha na Mandela!

Mkuu hivi Dr Slaa amefika Kigoma na kufanya mkutano???!!!!
 
Nyie Mwaka huu mtaukalia tu. Mbinu za kishetani zimeshindwa toka juzi bodaboda hapa kigoma wanakula kodi yao kutoka kwa Mafisadi CCm buku 10 zinahusika

Pole sana Mkuu naona umeumizwa na huu ukweli!!lakini hakuna ujanja wa kukwepa hali halisi ndio hiyo,Tumaini MAKENE anawapa ahueni tu kwa picha za kuungaunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…