Dr. Slaa atakuwa adui namba 4 kati ya maadui wa 3 wa Mwl Nyerere

Dr alivyotoswa kura za maoni za ubunge ccm akakimbilia chadema akapokelewa vizuri na muda Huo akapitishwa kugombea ubunge na akapata je amesahau ilo Lakin nasikia mchumba wake ndio mtata
Acheni udhalilishaji, yaani mnataka kuaminisha watu kwamba Dr. Slaa ameshikiwa akili zake na mamaa?
UKWELI UTABAKI PALE PALE KWAMBA SIASA ZA MBOWE, ZA CASINO, ZIMEGONGA MWAMBA! GOD DOESN'T PLAY DICE!
 
Napenda nichukuwe furusa hii kumuliza maswali mawili tu katibu wangu mkuu Dr slaa.
Je,Dr Slaa kama Lowassa angejiunga na Chadema na wewe ukabaki ndiye mgombea wetu wa Urais October ungesusa ujio wake?
Au umesusa baada ya Lowassa kupendekezwa kupeperusha bendera na wewe kuachwa?
Aliachochukia ni kwamba chama kimetumia miaka 8 kuuambia umma wa watanzania kwamba lowassa ni fisadi lakini wao viongozi wakatumia dakika tano kuuaminisha umma kwamba lowassa ni safi. Kasafishwa lini na nani? CCM alishindwa kusafishika ndo maana kaengulia mapemaaaaa. Dr. slaa yuko sahihi. utawaangaliaje watz wenye ufahamu wakuelewe? maana machedema wenge wanafuata upepo tu, eti ili mradi ccm ing'olewe, hawajui chochote baada ya hapo. ni wapuuzi wengi sana hapa tz wanaamini sababu ya umaskini wao ni CCM
 
Huyo Dr. Slaa ameshindwa kukamilisha kazi aliyotumwa na waajiri wake CCM,amekumbana na wajanja zaidi yake.
CHADEMA imekamilika kila idara, huwezi kuihujumu CDM na ukabaki salama utafurushwa tu.
Wananchi sasa wanachosuburi ni kipyenga cha kuanza kampeni kipulizwe watu washuhudie jinsi Tanzania itakavyorindima haijawahi kutokea. Wazandiki ndio wanaomuongelea Dr.Slaa ili kufifisha madudu yanayotokea ndani ya CCM.
Watuuuuuuuuu...........nguvu.

mgagagigikoko.
 
Napenda nichukuwe furusa hii kumuliza maswali mawili tu katibu wangu mkuu Dr slaa.
Je,Dr Slaa kama Lowassa angejiunga na Chadema na wewe ukabaki ndiye mgombea wetu wa Urais October ungesusa ujio wake?
Au umesusa baada ya Lowassa kupendekezwa kupeperusha bendera na wewe kuachwa?
Bwana eeh tumechoka na huyo padri wenu. Tumechoka achana nae Lowasa anatosha kabisa. Mwanamme hawezi kubembelezwa kama mwanamke! Aende zake. Kama atarudi ccm sawa kwa maana bado hata kadi ya ccm anayo wakati sisi za kwetu alikuwa anatuhubiria tuzichome moto baada ya kujiunga na chadema.
Namshauri Dr Slaa kwa sababu ameonyesha maadili yaliyotukuka kwa msimamo huu wake aanzishe chama chake cha siasa. Wala hajachelewa kama hatapenda kurudi ccm. Kwaheri ya kuonana
 
Aliachochukia ni kwamba chama kimetumia miaka 8 kuuambia umma wa watanzania kwamba lowassa ni fisadi lakini wao viongozi wakatumia dakika tano kuuaminisha umma kwamba lowassa ni safi. Kasafishwa lini na nani? CCM alishindwa kusafishika ndo maana kaengulia mapemaaaaa. Dr. slaa yuko sahihi. utawaangaliaje watz wenye ufahamu wakuelewe? maana machedema wenge wanafuata upepo tu, eti ili mradi ccm ing'olewe, hawajui chochote baada ya hapo. ni wapuuzi wengi sana hapa tz wanaamini sababu ya umaskini wao ni CCM

Tuuma za ufisadi ni za Lowassa na Lowassa alisha waeleza kila kilichotokea juu ya richmond na hata wananchi tulimsikia alichokisema juu ya tuhuma dhidi yake
Ni jukumu la Jakaya sasa kujibu yale aliyoeleza Lowassa
 
Yaani nashindwa kuelewa wafuasi wa Chadema sijui wenzetu ubongo wao una mafuta ya taa au ni wa ndege maana hawakawii kusahau.Leo mnamtukana slaa kisa lowasa.nawafananisha na mwanke anaesaliti ndoa yake kisa kapewa sh 10000/=ya Mara moja na kusahau Huduma za mumewe za kila siku.

Mbona na wewe umempenda Dr; ghafla au na wewe unahusika
 
Nadhani tumepoteza kabisa uelekeo juu ya suala la Dr Wilbroad Peter Slaa kwa sbb to the moment haijulikani tumwamini nani.

However, Mimi naamini, hitimisho zuri ni sharti liwe kwamba, Dr Slaa bado ni mwanachama hai na Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mpaka pale official statement itakapotoka kutoka kwake mwenyewe kama walivyofanya kina Zitto Kabwe, Makongoro Mahanga, Edward Lowassa, Machali, Chiku Abwao na wwngine.

Hili hata Mwenyekiti mwenyewe wa CHADEMA Ndg Freeman Mbowe kasema ktk hotuba yake ya ufunguzi wa Mkutano wa Baraza kuu la chama. I think we should trust him kuliko propaganda zinazoenezwa na watoto wa "mama Mdogo".

Hata hivyo nakubali kwamba hii hali si ya kawaida na imeleta sintofahamu isiyo ya lazima. It could be better kama Dr Slaa angeiondoa hii sintofahamu kama kwa kuutangazia umma kuwa amebwaga manyanga (amejiuzuru na kuachana na siasa as it is rumored) au yupo likizo isiyo ya malipo anapumzika!

On the other hand, inawezekana hii yaweza kuwa ni strategy ya upinzani kumchanganya adui ili baadaye apigwe pigo la mwisho la kumsambaratisha kabisa na kutwaa ushindi ktk uwanja wa mapambano!

Na kama ndivyo basi CHADEMA/UKAWA watakuwa wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kwa sbb si wanaCCM wala wana CDM/UKAWA wenyewe ambao watakuwa wameing'amua mbinu hii!!!.
 
Yaani nashindwa kuelewa wafuasi wa Chadema sijui wenzetu ubongo wao una mafuta ya taa au ni wa ndege maana hawakawii kusahau.Leo mnamtukana slaa kisa lowasa.nawafananisha na mwanke anaesaliti ndoa yake kisa kapewa sh 10000/=ya Mara moja na kusahau Huduma za mumewe za kila siku.

wewe make wako alishawahi kusahau huduma zako Kwa shs 10000, kila kitu Kwa wakati ukifanya jema linapokelewa, ukifanya ovu linakemewa, kajipange huna hoja
 
Atuungi mkono haki iliyonunuliwa,Believe me or not Dr kanunuliwa.
Mbona husemi kama Mbowe kanunuliwa na Lowasa. Na hii kashfa kila mtu anajua kwamba amehongwa na hajawahi kukanusha hata mara moja skendo hii.
Acha fikra binafsi wewe
 
Dr Slaa hakuzaliwa wala kukulia Chadema.Naye alikaribishwa kama mwenzie lowassa Na hakuna aliyepinga kupokelewa kwake hata kidogo.Chadema walienda mbali zaidi na kumpa dhamana ya kuwa Katibu mkuu wa chama.

Nikiwa kama mwanachama hai wa Chadema niliyezaliwa na kukulia ndani ya chama hiki,Nasema"Endapo Dr slaa atakigeuka chama wakati huu mzuri tukiwa tunahitaji mabadiliko na fikra mpya.Atakuwa ndio adui wangu namba moja wa siasa za mabadiliko tanzania tunazozililia kwa miaka 20 sasa.

Dr Slaa ni nani hata apingane na wengi,Tena kamati kuu ya chama?

Dr Slaa ni nani apingane na nguvu kubwa ya mabadiliko na ukombozi wa kiuchumi?

Bila shaka nipo tayari kuamini ipo nguvu kubwa toka chama tawala inayomshawishi Dr kufanya haya kwa masilahi yake na yao binafsi.Na si wengine ni Ccm,Baada ya muungano wa Ukawa walikosa usingizi na sasa rasilimali zao zote zikiwemo rasilimali fedha na watu wameziamishia kwa Dr ilimradi tu ndoto hizi njema zisitime.

Sipo tayari na naomba wana Chadema wote tuungane kwa hili.

Na kama Dr atatusaliti tumwainishe katika maadui wakubwa kati ya wale maadui aliowataja mwalimu Nyerere.

Maradhi,Ujinga na Umasikini adui wa nne tutamwongeza Dr Slaa asiposikia vilio vya wapenda mabadiliko.


Napenda nichukuwe furusa hii kumuliza maswali mawili tu katibu wangu mkuu Dr slaa.
Je,Dr Slaa kama Lowassa angejiunga na Chadema na wewe ukabaki ndiye mgombea wetu wa Urais October ungesusa ujio wake?
Au umesusa baada ya Lowassa kupendekezwa kupeperusha bendera na wewe kuachwa?
Jibu maswali hayo mawili,Mengine yote tutakuvumilia

Jua kuwa yeye ndo ktm wa cdm
 
Dr alivyotoswa kura za maoni za ubunge ccm akakimbilia chadema akapokelewa vizuri na muda Huo akapitishwa kugombea ubunge na akapata je amesahau ilo Lakin nasikia mchumba wake ndio mtata


Uzee utakuwa unamsumbua na usista duu wa josefina
 
Mbona husemi kama Mbowe kanunuliwa na Lowasa. Na hii kashfa kila mtu anajua kwamba amehongwa na hajawahi kukanusha hata mara moja skendo hii.
Acha fikra binafsi wewe
chadema tulimuhitaji lowasa zaidi ya alivyo tuhitaji
 
chadema ni kubwa kuliko yeye....hivyo chama hiki hakiyumbishwi........mtu mkubwa katibu wa chama una susa wakati chama kina elekea katika vikao vikuu vya maamuzi!....maajabu haya...Lowassa ni mtaji mkubwa.......pia anakubalika na ukawa sasa nini tena...shindeni uchaguzi,,mengine yatafuata

Unaabisha, unahukumu bila kujua sababu ya kususa!! Utakuja kutendwa kinyume halafu usisuse
 
Mafahali wawili hawakai zizi noja, fahali lowasa amekuja zizi analoishi slaa vumbi likatokea slaa akatoka zizini sasa fahali gani ana nguvu hapo?aliyekimbia zizi au aliyebaki kwenye zizi? Hapa pa maslahi binafsi kuliko ya wananchi ndio panawashinda viongozi wa afrika lakini wacha imeshapita tuendelee na vuguvugu la mabadiliko hakuna kumsubiri mtu ,kama mbowe alivyosema maji yanapokupwa na kujaa hayamsubiri mtu.Kama kipindi kigumu na muhimu kama hiki slaa anakimbia wananchi pale wanapomuhitaji basi atafuta kazi yake nzuri aliyofanya kipindi cha nyuma na watu watamsahau kabisa katika historia ya mabadiliko ya tanzania
 
uchu wa madaraka zaidi ya uchu alionao lowassa?
Lowassa ana uchu na madaraka,Dr Slaa ana uchu na Madaraka,Nafasi ni moja,Ukizidiwa kete usijifanye kususa uchu ni uchu tu.Rushwa ya elfu 10 na Rushwa ya elfu 20 zote ni rushwa.If you cant fight them join them
 
Lowassa ana uchu na madaraka,Dr Slaa ana uchu na Madaraka,Nafasi ni moja,Ukizidiwa kete usijifanye kususa uchu ni uchu tu.Rushwa ya elfu 10 na Rushwa ya elfu 20 zote ni rushwa.If you cant fight them join them
huo ndo ukweli
 
Back
Top Bottom