PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,211
- 4,171
mimi napata mashaka hivi uhu upenzi wa na usemewaji wa dr slaa, na ccm umetoka wapi?
Hembu tujiukize juu ya lile bandiko la dk slaa hapa (jf) akimjibu kamanda (yeriko nyerere)
embufikiri sana wanachadema wenzangu, kwa nini dr slaa hasiwajibu ccm na gazeti la Raia tanzania kwa kupiga propaganda juu yake? ihishie kumjibu mwana chadema mwenzake, bw yeriko!!!!!!!!!!!!!!!
Hapa kuna ishu inaendelea siyo bure.
Ifike maala wanachadema na viongozi wakuu wa chama waachane na dr slaa, dr slaa atapita na chama kitabaki tena imara zaidi na zaidi,
ila dr ajue ametukera sana tena sana maana ni mtu ambaye tulimweshimu sana,
ahache chuki zisizo na maana yoyote kwa lowassa, chuki hazijengi maana binadamu siye muhukum bali ahukumuye kwa haki ni MUNGU,
Hembu tujiukize juu ya lile bandiko la dk slaa hapa (jf) akimjibu kamanda (yeriko nyerere)
embufikiri sana wanachadema wenzangu, kwa nini dr slaa hasiwajibu ccm na gazeti la Raia tanzania kwa kupiga propaganda juu yake? ihishie kumjibu mwana chadema mwenzake, bw yeriko!!!!!!!!!!!!!!!
Hapa kuna ishu inaendelea siyo bure.
Ifike maala wanachadema na viongozi wakuu wa chama waachane na dr slaa, dr slaa atapita na chama kitabaki tena imara zaidi na zaidi,
ila dr ajue ametukera sana tena sana maana ni mtu ambaye tulimweshimu sana,
ahache chuki zisizo na maana yoyote kwa lowassa, chuki hazijengi maana binadamu siye muhukum bali ahukumuye kwa haki ni MUNGU,