- Thread starter
- #21
Ni Ngumu sana Kuelewa Falsafa ya Dr. Slaa na kutokana na uwezo wako ulivyo mdogo kama wa Kuku It can take even your life understand the philosophy behind Dr. Slaa Claim
Matatizo ya Watanzania
1. Ufisadi 2. Ufisadi 3. Ufisadi
Ambacho ningeweza kuhsisi kutokana na elimu ya Docta ni kutumia ile ddoctrine ya Trinity.
Naona kama vinafanana! Vinginevyo hapo hamna kitu.