Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
.
Kwa sasa wapambe wa CCM waliokuwa wamekuja jijini Arusha kwa magari aina ya FUSO ili kuja kushangilia hawaonekani na mafuso yao pia hayyajulikani yalikoelekea.
Nitawapa taarifa zaidi.
is it?
if true let me go to buy Teachers "whisky"...
It is very true no doubt about this go and celebrate u have all the reasons.