Aende akagombee ubunge tu maana Urais tena kwa 2015 sijui kama CHADEMA watamsimamisha yeye.
yaani mkilala mkiamuka mnamfikiria DR. tu!!! na bado -- maumivu ya kichwa....Ni kuhusu swala la kugombea Ubunge Arumeru Mashariki!
Hata asipopewa Urais bado anawatumikia wananchi kama Katibu mkuu CDM tena Katibu Mkuu Bora kuliko wote TZ nzima. Jiulize wewe unaitumikiaje nchi yako?Aende akagombee ubunge tu maana Urais tena kwa 2015 sijui kama CHADEMA watamsimamisha yeye.
''Hata hivyo, Dk. Slaa alipotafutwa na gazeti hili aweze kuzungumzia juu ya hatua hiyo, alisema kwa kifupi: "Siwezi kulizungumzia jambo hilo, maana nilikwisha kusema muda mrefu kuwa sitaki tena ubunge na isitoshe mimi si mwenyeji wa Arumeru.
Hata asipopewa Urais bado anawatumikia wananchi kama Katibu mkuu CDM tena Katibu Mkuu Bora kuliko wote TZ nzima. Jiulize wewe unaitumikiaje nchi yako?